Jamani mwenzenu nimelizwa naombeni msaada katika hli

Jamani mwenzenu nimelizwa naombeni msaada katika hli

umla

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2012
Posts
1,166
Reaction score
558
Jana katika matembezi yangu nikiwa kwenye daladala nikitokea makumbusho kuelekea magomeni,nilipo fika maeneo ya komakoma-mwananyamala walitokea vibaka na kuchukua cm yangu niliyokua nikitumia kupitia dirishani na kutokomea nayo.nilipiga kelele bila mafanikio.
simu yangu ilikuwa ni sumsung window smartphone ambayo ilikuwa ikinisaidia sana kwenye mambo mengi ya internet hivyo kukaa bila simu yenye inernet najihisi kama sijakamilika,NINAOMBENI MNISAIDIE KATIKA MAWAZO JE NI SIMU GANI NYINGINE NAWEZA KUNUNUA NZURI NA YENYE KUSUPPORT INTERNET VIZURI YENYE GHARAMA ISIYOZIDI LAKI NNE TU. msaada tafadhali.AHSANTENI
 
Kuna TECNO N3 au N7 ni Android phone. Bei poa 180,000 uta enjoy na hata kama utaibiwa hautaumia sana roho.
 
samsung galaxy s
samsung-galaxy-s.jpg


iphone 3gs
apple-iphone-3gs-ofic.jpg


nokia 700/701
nokia-701.jpg


simu hizo 3 zote zishawahi kuwa flagship so hazina matatizo na durability yake ni kubwa kwa hela hio nakushauri tafuta hizo
 
Jana katika matembezi yangu nikiwa kwenye daladala nikitokea makumbusho kuelekea magomeni,nilipo fika maeneo ya komakoma-mwananyamala walitokea vibaka na kuchukua cm yangu niliyokua nikitumia kupitia dirishani na kutokomea nayo.nilipiga kelele bila mafanikio.
simu yangu ilikuwa ni sumsung window smartphone ambayo ilikuwa ikinisaidia sana kwenye mambo mengi ya internet hivyo kukaa bila simu yenye inernet najihisi kama sijakamilika,NINAOMBENI MNISAIDIE KATIKA MAWAZO JE NI SIMU GANI NYINGINE NAWEZA KUNUNUA NZURI NA YENYE KUSUPPORT INTERNET VIZURI YENYE GHARAMA ISIYOZIDI LAKI NNE TU. msaada tafadhali.AHSANTENI

We mgeni mji huu??? Eneo lenyewe linaitwa KOMA KOMA -Mwananyamala we unauza simu dirishani!!??? poleeee. Uwe mwangalifu utalizwa sana.
 
Jana katika matembezi yangu nikiwa kwenye daladala nikitokea makumbusho kuelekea magomeni,nilipo fika maeneo ya komakoma-mwananyamala walitokea vibaka na kuchukua cm yangu niliyokua nikitumia kupitia dirishani na kutokomea nayo.nilipiga kelele bila mafanikio.
simu yangu ilikuwa ni sumsung window smartphone ambayo ilikuwa ikinisaidia sana kwenye mambo mengi ya internet hivyo kukaa bila simu yenye inernet najihisi kama sijakamilika,NINAOMBENI MNISAIDIE KATIKA MAWAZO JE NI SIMU GANI NYINGINE NAWEZA KUNUNUA NZURI NA YENYE KUSUPPORT INTERNET VIZURI YENYE GHARAMA ISIYOZIDI LAKI NNE TU. msaada tafadhali.AHSANTENI

ufahamu kitu kizuri mkuu umeibiwa simu omba msaada usiombe tena aina ya simu;hold n kanunue moderm 35alf pamoja a recg ya mwezi;kanunue pc lakimbili nanusu nzuri freedom electronic then wakiiba na hiyo jithd utumie internet cafe
 
Kwa nini nasema hivi kwa story yaki ulitakiwa uwe unapoanda private cars tax ect; ulichofanya ni kufungua yahoo ama gmail ukiwa kwenye basi limejaa huku ukijua nje kuna vijana walishaoata div kabla awajazaliwa awajapata mlo wa asbh mchana wanategemea ufaham wenu mnapoojisahau naona wanacheka ;;;kwa kukushauri tena uwezekano wa kuipata upoo kama aijapta 3days ;huii n kwa wote mnaoibiwa cha maana kama una hizo laki 4 tena nenda ulpoibiwa tafta teja hata wawiliu wahakikishie laki moja simu yaki inaletwa ama ingekuwa ubungo ningekusaidia umwone nani mwisho nakupa pole uanaume ndio huo
 
Nicheck kuna ideos laki 140,000,htc touch pro 2 laki 260,000 ni used!
 
Kaka hav u tried tracking it(asuming u had Gmail signed ) or some sort of tracking software installed? Smartphone ni vyema sana kuiwekea tracking softs ili yakitokea ya kutokea unaipata!! Thats all i've got
 
Kama ni Koma-koma-mwananyamala shukuru wameondoka na simu peke yake....ile njia hadi mchana wa jua kali inaogopwa....Kama una gari ogopa usije mkwaruza m2 bahati mbaya au hata gari jingine kufumba na kufumbua utajikuta masikini.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom