Jamani muwe mnatoa ahadi za kweli

Jamani muwe mnatoa ahadi za kweli

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
40,490
Reaction score
62,876
Nipo hapa mji wa jirani nimeamua kuja kubadilisha hali ya hewa,nikasema nitafute mtoto mzuri wa kuniweka bize kidogo ili niweze kupunguza msongo wa mawazo wa kidunia.Mtoto akaomba nimtumie garama za kumleta.......nimemtumia, tangu asubuhi mpaka sasa hivi...nipo tu mwenyewe sijielewi.Nikipiga simu,haipatikani.....hapa nilipo moyo uko tayari kuachana na mwili.Jamani muwe mnatoa ahadi za kweli.
 
Huwezi jua jambo ambalo ume epushwa nalo huenda ni kubwa kuliko hata hiyo hela uliyomtumia
 
Switch To Badoo chap
Nipo hapa mji wa jirani nimeamua kuja kubadilisha hali ya hewa,nikasema nitafute mtoto mzuri wa kuniweka bize kidogo ili niweze kupunguza msongo wa mawazo wa kidunia.Mtoto akaomba nimtumie garama za kumleta.......nimemtumia, tangu asubuhi mpaka sasa hivi...nipo tu mwenyewe sijielewi.Nikipiga simu,haipatikani.....hapa nilipo moyo uko tayari kuachana na mwili.Jamani muwe mnatoa ahadi za kweli.
 
Nipo hapa mji wa jirani nimeamua kuja kubadilisha hali ya hewa,nikasema nitafute mtoto mzuri wa kuniweka bize kidogo ili niweze kupunguza msongo wa mawazo wa kidunia.Mtoto akaomba nimtumie garama za kumleta.......nimemtumia, tangu asubuhi mpaka sasa hivi...nipo tu mwenyewe sijielewi.Nikipiga simu,haipatikani.....hapa nilipo moyo uko tayari kuachana na mwili.Jamani muwe mnatoa ahadi za kweli.
Muwe mnauliza. Siku hizi kuna wanaume wapumbavu wengi wanafungua acc kwenye mitandao ya kijamii kwa kutumia majina ya kike.

Uki chat nao dakika mbili tatu washaomba hela ya vocha, bili ya umeme , bili ya dawasco na luku na maujinga mengine kibao.

Wanaume wenye tabia hiyo ya kithenge mnazingua kichizi.
 
Ungefanya vizuri kama ungeondoks nae toka huko ulikotoka mkasafiri wote.

Pole kwa kuzimiwa simu, jikaze labda kesho atakuja.
ha ha ha ha ndio tatizo la waswahili
 
Muwe mnauliza. Siku hizi kuna wanaume wapumbavu wengi wanafungua acc kwenye mitandao ya kijamii kwa kutumia majina ya kike.

Uki chat nao dakika mbili tatu washaomba hela ya vocha, bili ya umeme , bili ya dawasco na luku na maujinga mengine kibao.

Wanaume wenye tabia hiyo ya kithenge mnazingua kichizi.
Nilishawahi kutoka naye huko nyuma
 
Kuna Mmoja nilimuambia tuma namba ya Luku nikununulie umeme. Alinisonyaaaaaa [emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57] Akaniita Dume Suruali
Muwe mnauliza. Siku hizi kuna wanaume wapumbavu wengi wanafungua acc kwenye mitandao ya kijamii kwa kutumia majina ya kike.

Uki chat nao dakika mbili tatu washaomba hela ya vocha, bili ya umeme , bili ya dawasco na luku na maujinga mengine kibao.

Wanaume wenye tabia hiyo ya kithenge mnazingua kichizi.
 
Back
Top Bottom