Yani huyo mwanamke kesha kuona wwe (nice guy) na mwanamke akishagundua hilo atakusumbua sana,coz anajua wwe zoba kesha kuona huna ubavu wa kupata demu mwingine mzuri kama yye!,hapo cha kufanya wwe kaa kimya2 usimtafute kwenye simu wala kumuuliza kwa mtu yyote,jaribu kuwa busy na mambo yako,Fanya hivyo angalau hata kwa mwezi mmoja asipokutafuta mwenyewe mpige chini coz huyo lazima atakuwa hakupendi,kumbuka"love is born and love is die" isipokuwa Upendo wa mama ndio unadumu milele!,huwezi kumlazimisha ngombe kunywa ikiwa hataki!