Bila shuka
JF-Expert Member
- Oct 14, 2014
- 596
- 296
Jomba Demu wk Ndio unamjua zaidi ila je ni muaminifu kwenye mapenzi?je anakutukania wazee/ndugu zako?ww anakutukana au anakutolea maneno tu?
Jomba Demu wk Ndio unamjua zaidi ila je ni muaminifu kwenye mapenzi?je anakutukania wazee/ndugu zako?ww anakutukana au anakutolea maneno tu?
Oa wewe acha mbwembwe hapa, wenzako wenye akili wanajimegea huko aliko na ww unaishia kuambulia mitusi tu kwa sababu huna akili. Bichwa lako Ngurubhe
Miaka 7 ana she is still a demu to you mr?? Hiyo mitusi inasababu ichunguze tu
Amekuwa akisoma na nikaona sio vema kuwa nae wakat bado anasoma,bt kwa mipango ilitakiwa nimuoe baada ya kumaliza chuo!
hua anakutukanaje kwani!?? usikute unaambiwa ukweli we unazani unatukanwa lol
🙂Sasa ndugu yangu mtu bado ni girlfriend tuu anakua na tabia hiyo ukioa si ndio agakupiga kabisa?
Kama yupo mbali anakuwa hivyo mkiishi one house je?!
Ni kheri kuishi kwenye kona ya dari kuliko kukaa na mwanamke mwenye makelele.
And mtu asiehaurika ni ngumu sana kila siku mtakuwa na ugomvi tuu maana yeye atataka njia ya hii na wewe utataka nyingine mwisho wa siku magomvi.
Plus kashakuona ----- tuu hata akitukana vipi huna usemi wala humwachi.
Miaka yote hiyo hakuona kama ana matusi.....
Mmmmh