Jamani msichana ana matusi

Jamani msichana ana matusi

Miaka yote hiyo hakuona kama ana matusi.....

Mmmmh

Jaman sio kuwa leo ndio nimegundua,semeni leo ndio nimeandka hapa!!!!
Hata hvi hakuanza kutukana tangu zaman hapana amekuwa akibrika kidogokidogo
 
Ukikaa vibaya atakitukana hata mbele ya ndugu zako ..shame on her ..
 
mi naona bado anakupenda na kakuheshimu saana kuku tukana tuuu! miaka saba bado yuko position ya semu but response ni matusi tu! you are lucky my dear alipaswa akukate mtama ukidondoka akipe kibuti cha maandishi unyanyike nacho.

pia yawezekana maneno matupu hadi ukiwa uwanjani
 
Makosa mengi ya kiuandishi katika hili bandiko lako yanaonesha uwezo wako mdogo wa ku-analyse vitu hivyo huyo demu wako ameshagundua hili na ndio maana anakutukana tu
 
Hata kuchagua saana haifai ni sawa na kuchamba kwingi...hutoka na mavi mkononi,,

Kinachoonekana hapa ni hiyo courtship yao miaka saba???! lazima bidada achoke na kujifunza matusi hahaha.
Tena ushukuru matusi...akipata kamchepuko ndio hatari zaidi..usimwache afike huko fanya kitu.

dalili ya mvua ni mawingu!!!ukikosea kuchagua mke maisha yako yataharibika,tulia uchague vizuri
 
Huyo "demu" wako yuko sahihi kukutukana kwani inaonyesha kuwa kwa muda wote ulikuwa umemfanya gunia la mazoezi na dampo la kumwaga taka mwili zako....sasa ndio amejitambua rasmi na anataka kujiondoa kifungoni....
 
vumilia buana(kihaya) sio peke ako unaetunwa, usipotukanwa kwa sauti hata kimoyomoyo utatukanwa tena bora tusi la sauti sio la moyoni...sawa?!!
 
Huyo "demu" wako yuko sahihi kukutukana kwani inaonyesha kuwa kwa muda wote ulikuwa umemfanya gunia la mazoezi na dampo la kumwaga taka mwili zako....sasa ndio amejitambua rasmi na anataka kujiondoa kifungoni....

Kwani mim ni gereza?!
 
Ndio...gereza la ngono...

Hapana umeelewa vibaya,lakini wewe elewa tu kuwa mpenzi wangu ana matusi na ninachoomba kwako ni ushauri na kama hauna ushauri basi jifanye hujaiona hii thread😛
 
Back
Top Bottom