K kabintispecial Member Joined Feb 16, 2014 Posts 67 Reaction score 31 Jun 13, 2014 Thread starter #21 gorgeousmimi said: Jamani kulikoni kabintispecial? Click to expand... kupenda kazi...we acha.! Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
King’asti Platinum Member Joined Nov 26, 2009 Posts 27,866 Reaction score 24,976 Jun 13, 2014 #22 Hahaha, Babangu ni korokoroni wa mbuga moja kubwa sana ya wanyama. si unaona tunakulaga bata na sun goggles cc Mtambuzi Kongosho said: Ha ha ha, una majibu kama askari wa NAZI Click to expand... Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Hahaha, Babangu ni korokoroni wa mbuga moja kubwa sana ya wanyama. si unaona tunakulaga bata na sun goggles cc Mtambuzi Kongosho said: Ha ha ha, una majibu kama askari wa NAZI Click to expand...
Vaislay JF-Expert Member Joined Jun 26, 2011 Posts 4,532 Reaction score 1,840 Jun 13, 2014 #23 unalia kisa mtu??? nitafute nikupe darasa...hakuna muda wa kulia sahizi bana
Passion Lady JF-Expert Member Joined Nov 17, 2012 Posts 8,694 Reaction score 4,646 Jun 14, 2014 #24 Mtt. Wa mwanamke mwenzio ni dhambi kumpenda ukweli kweli,penda kiongo ongooo la sivyo utalia daily,,baba nanii akipita hapa na zawadi basdei sipati walah!hili dole gumba langu litakua limejiunga na bokoharam,sio mm nilieandika!
Mtt. Wa mwanamke mwenzio ni dhambi kumpenda ukweli kweli,penda kiongo ongooo la sivyo utalia daily,,baba nanii akipita hapa na zawadi basdei sipati walah!hili dole gumba langu litakua limejiunga na bokoharam,sio mm nilieandika!
kabanga JF-Expert Member Joined Dec 12, 2011 Posts 37,506 Reaction score 18,872 Jun 15, 2014 #25 khaa.....
miss chagga JF-Expert Member Joined Jun 7, 2013 Posts 57,805 Reaction score 49,104 Jun 15, 2014 #26 Mtu mwambie nakupenda lakin nakuacha usilie mama .... au mawili komaaa akiwa deep rudisha mapigo mletee dharau
Mtu mwambie nakupenda lakin nakuacha usilie mama .... au mawili komaaa akiwa deep rudisha mapigo mletee dharau
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 360,335 Reaction score 829,485 Jun 20, 2014 #27 View attachment 166125 kabintispecial said: inaumiza sana mtu unapompenda akakuletea dharau..leo nina hasira jamani nimeishia kulia tu..najiuliza mpka lini hii hali.,a bleeding heart.!ni kosa mtu akijua unampenda Click to expand...
View attachment 166125 kabintispecial said: inaumiza sana mtu unapompenda akakuletea dharau..leo nina hasira jamani nimeishia kulia tu..najiuliza mpka lini hii hali.,a bleeding heart.!ni kosa mtu akijua unampenda Click to expand...
CharmingLady JF-Expert Member Joined Apr 16, 2012 Posts 18,304 Reaction score 12,997 Jun 21, 2014 #28 kabintispecial said: inaumiza sana mtu unapompenda akakuletea dharau..leo nina hasira jamani nimeishia kulia tu..najiuliza mpka lini hii hali.,a bleeding heart.!ni kosa mtu akijua unampenda Click to expand... Pole sana mamie.... unamaanisha moyo wako uko hivi???
kabintispecial said: inaumiza sana mtu unapompenda akakuletea dharau..leo nina hasira jamani nimeishia kulia tu..najiuliza mpka lini hii hali.,a bleeding heart.!ni kosa mtu akijua unampenda Click to expand... Pole sana mamie.... unamaanisha moyo wako uko hivi???
shansarie JF-Expert Member Joined May 25, 2013 Posts 5,690 Reaction score 3,370 Jun 21, 2014 #29 kabintispecial said: inaumiza sana mtu unapompenda akakuletea dharau..leo nina hasira jamani nimeishia kulia tu..najiuliza mpka lini hii hali.,a bleeding heart.!ni kosa mtu akijua unampenda Click to expand... pole ndo mapenzi hayo usipoumia kidogo hujapenda bado
kabintispecial said: inaumiza sana mtu unapompenda akakuletea dharau..leo nina hasira jamani nimeishia kulia tu..najiuliza mpka lini hii hali.,a bleeding heart.!ni kosa mtu akijua unampenda Click to expand... pole ndo mapenzi hayo usipoumia kidogo hujapenda bado
A Abel james Senior Member Joined Jun 12, 2014 Posts 103 Reaction score 8 Jun 22, 2014 #31 pole wangu,yataisha tuu
Barbie Member Joined Sep 24, 2013 Posts 42 Reaction score 13 Jun 25, 2014 #32 Pole mamii. But jitahidi kupenda 30%... na 70% unajiwekea mwenyewe. Ukisema utoe 100% yote utalia kila siku. Jipende mwenyewe saaana. Then nayeye mpende kidogo tuu inamtosha.
Pole mamii. But jitahidi kupenda 30%... na 70% unajiwekea mwenyewe. Ukisema utoe 100% yote utalia kila siku. Jipende mwenyewe saaana. Then nayeye mpende kidogo tuu inamtosha.