Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,894
Hii nimeitoa gazeti la mwanahalisi Jumatano November 4-10, 2009.
kati ya mawaziri waliokuwa na kashfa ya kujipa cheo cha udaktari wa falsafa (Dr.) wawili wameanza kukata shule Mzumbe University wakisomea degree ya uzamivu ya falsafa. Aidha wakufunzi 12 Mzumbe waliokuwa na PhD zenye utata wamevuliwa.
orodha yao ni kama inavyoonyeshwa hapo chini. Ukitaka kuhakikisha soma current propospectus ya Mzumbe University utaona wameandika wana masters tu. pata majina kamili.
mawaziri wanaosoma Mzumbe ni
1. Emmanuel Nchimbi
2. D. Kamala
wakufunzi waliovuliwa PhD zao ni pamoja na
1. D. Kamala
2. Moses Warioba
3. Christopher Sotta
4. Aestarch Kiwango
5. Colman Riwa
6. Leonard Shio
7. Mujwahuzi Njunwa
8. Prosper Ngowi
9. Benard Nsana
10. Gabriel Elisante
11. Didas Mrina
12. Raphael Habi.
regards,
kati ya mawaziri waliokuwa na kashfa ya kujipa cheo cha udaktari wa falsafa (Dr.) wawili wameanza kukata shule Mzumbe University wakisomea degree ya uzamivu ya falsafa. Aidha wakufunzi 12 Mzumbe waliokuwa na PhD zenye utata wamevuliwa.
orodha yao ni kama inavyoonyeshwa hapo chini. Ukitaka kuhakikisha soma current propospectus ya Mzumbe University utaona wameandika wana masters tu. pata majina kamili.
mawaziri wanaosoma Mzumbe ni
1. Emmanuel Nchimbi
2. D. Kamala
wakufunzi waliovuliwa PhD zao ni pamoja na
1. D. Kamala
2. Moses Warioba
3. Christopher Sotta
4. Aestarch Kiwango
5. Colman Riwa
6. Leonard Shio
7. Mujwahuzi Njunwa
8. Prosper Ngowi
9. Benard Nsana
10. Gabriel Elisante
11. Didas Mrina
12. Raphael Habi.
regards,