Jamani mimi mapenzi tena basi!

Jamani mimi mapenzi tena basi!

"Coz ninampa kila anachotaka kuanzia mapenzi mpaka BASIC NEEDS" hapo tu ndo ulipofail ukimpa mwanamke kila anachotaka maana ake you are not man enough kwahiyo lazima akutafutie mwenzako..no challenge no attraction no love...
mhmmmmmh sasa usipompa anachotaka si ndo unampa sababu ya kucheat
 
Sasa mkuu ujui kama zinaa ni deni kwamujibu wa maelezo yako umezini na wanawake wengi ambao ni Dada, Mama, Shangazi, Shemiji au watoto wa watu ivi unafikilia hao uliyokuwa ukiwazini ndugu zao walikuwa wanafurahia kitendo unachowafanyia sasa na wewe ameziniwa mchumba wako ambaye hauja muoa umekasirika na kufura mpaka uka amua uje JF kupata ushauri
Mm ninacho kushauri acha uzinifu sio sifa wangapi walikuwa wakifanya tabia hii ktk walio kutangulia leo hii wapo wapi?

Kwaiyo badilika acha uzinifu alafu utafute binti umpendaye ukamuoe

Ila fahamu ukijifanya mjanja kwa kugonga dada za watu kwa kupitia mlango wa kushoto basi na wewe utagongewa kwa kupitia mlango wa kulia!!!
 
Pole sana mkuu,..nikumuomba Mungu akujalie utakaenda nae katika maisha,..dunia INA watu hawajakamilika ni sumu kwa wakamilifu,..pumzisha roho sasa ustarehe
 
Sasa mkuu ujui kama zinaa ni deni kwamujibu wa maelezo yako umezini na wanawake wengi ambao ni Dada, Mama, Shangazi, Shemiji au watoto wa watu ivi unafikilia hao uliyokuwa ukiwazini ndugu zao walikuwa wanafurahia kitendo unachowafanyia sasa na wewe ameziniwa mchumba wako ambaye hauja muoa umekasirika na kufura mpaka uka amua uje JF kupata ushauri
Mm ninacho kushauri acha uzinifu sio sifa wangapi walikuwa wakifanya tabia hii ktk walio kutangulia leo hii wapo wapi?

Kwaiyo badilika acha uzinifu alafu utafute binti umpendaye ukamuoe

Ila fahamu ukijifanya mjanja kwa kugonga dada za watu kwa kupitia mlango wa kushoto basi na wewe utagongewa kwa kupitia mlango wa kulia!!!

We ujawai zini,..
 
SASA NDIO IJULIKANE KUWA........ HAIJULIKANI WANAWAKE HUWA WANAHITAJI NINI?

HATA UWE NA MAGARI, MAJUMBA, HELA, GYM KILA SIKU, SHOW ZA KIBABE.

BADO ATAKUSALITI
 
SASA NDIO IJULIKANE KUWA........ HAIJULIKANI WANAWAKE HUWA WANAHITAJI NINI?

HATA UWE NA MAGARI, MAJUMBA, HELA, GYM KILA SIKU, SHOW ZA KIBABE.

BADO ATAKUSALITI

True bro,..ila kuna mapungufu yetu pia yanachangia ila uwa awasemi wanafanya kukukomoa,..
 
Unahis kufa kwa ajili ya mwanamke mim kwangu hata iweje siwez his au chukua maamuz ya kujiua mali zako utamwachia nan , tulia bother jipe muda wa kuto jihusisha na mapenz,
 
Sasa mkuu ujui kama zinaa ni deni kwamujibu wa maelezo yako umezini na wanawake wengi ambao ni Dada, Mama, Shangazi, Shemiji au watoto wa watu ivi unafikilia hao uliyokuwa ukiwazini ndugu zao walikuwa wanafurahia kitendo unachowafanyia sasa na wewe ameziniwa mchumba wako ambaye hauja muoa umekasirika na kufura mpaka uka amua uje JF kupata ushauri
Mm ninacho kushauri acha uzinifu sio sifa wangapi walikuwa wakifanya tabia hii ktk walio kutangulia leo hii wapo wapi?

Kwaiyo badilika acha uzinifu alafu utafute binti umpendaye ukamuoe

Ila fahamu ukijifanya mjanja kwa kugonga dada za watu kwa kupitia mlango wa kushoto basi na wewe utagongewa kwa kupitia mlango wa kulia!!!
Nimekuelewa mkuu
 
Back
Top Bottom