Jamani mimi mapenzi tena basi!

Jamani mimi mapenzi tena basi!

Jifunze tuu mkuu,kwenye maisha huwezi kupata kila kitu
 
Polee sana mkuu, shit happens in life, maisha inabidi yasonge tu, hayo mambo yanaumiza sana, i ve been passed the same experience, tulia jifunze kuipenda nafsi yako zaidi, usi force upendo, pia usiweke matarajio makubwa kwenye maisha ya mtu mwingine, Amini u deserve much better, not all gals will break ur heart some wil give u the right love u deserve, N it wil be a great honour for u, jaz be patient
 
Ebu weka picha yako na picha ya unavyovomiliki kama ushuuda ili tukushauri vema
 
Kwann unywe pombe kuharibu afya yako kisa mtu ambaye hajali maumivu yako?

Hapo hakuna usuluhishi wala kupatana,waambie wazazi wako na wake ukweli alafu mtume mshenga akachukue mahali uliyopeleka.

Kama angekusaliti kabla hujatoa mahali tungesema labda hakuwa na uhakika na nia yako kwake. Sasa jitu umelitolea mahali alafu bado linakitembeza.
 
Hapo ndipo utakapoamini kuwa Kiumbe cha Jinsi ya Ke hakitabiriki kuwa kinahitaji nini kwenye Mahusiano.. Pole na KubaliKuachilia kwa kuwa kama kweli sifa ulizojipamba bado wanakukimbia kweli wewe hupashi kuendelea kwenye mahusiano tena.

Pole
njoo unipende mm maan nishatendwa xn unakubali shida za MTU ziwe zk lkn bado unafaida kwke nachekwa kwaajili yk lkn bado tu nakaa kwa macmango lkn bd tu kiukweli mapenz
 
1.Acha pombe kali
2.Mwanaume hakati tamaa
3.Muombe Mungu kwani sio mwenye kushindwa one day yes utapata wako....
 
Utapata wako tu mkuu...ngoja wafike. Wanawake 120""utampata tu wa kwako... kumbuka si kila mwanamke ni wa kuwa nae permanent relation Wengine CHOMEKA....CHOMOA. .tu mkuu...LABDA PIA HATA WEWE UNA TATIZO ....sasa una kazi nzr..pesa unazo..wanawake watakusumbuwa vp?au labda ndy nyie mnaonuka KIBEBERU? jaribu kuwa ROMANTIC...mkuu... Kuanzia.. .unapoongea....nae...mapenzi si kitandani tu..yanaanzia nje ya KITANDA MKUU..
 
Tayari! Uzi wa gari tena,
Ningekuwa mimi natengeneza kiasi cha 500K kwa siku kama huyo jamaa, hata papuchi ningeachana nazo kabisa, nikanunua lile li model la kwenye maduka ya nguo nikalimodify papuchi, nikawa namwagia hapo. Asubuhi naenda kuliosha, nakaa juu ya meza, naanza kushushia pombe kali.

Tumshukuru mama kwa kutengeneza vijana wa ovyo kama mimi

pesa zote hizo still mapenzi yanakuwazisha
 
Unaingiza laki tano kwa siku afu unakujs kulia lia huku??? Hot tea.
 
Sasa mimba unaukakika yako, Demu wangu aliolewa na mimba yangu. Kwa hiyo wanawake wanajijua wenyewe
 
Wewe siyo wa kwanza wala siyo wa mwisho, unaweza ukawa na mtarimbo mzuri cjui mkubwa lakin mwenzio asivutiwe nao akaona karaha hujui kuutumia heri akatafute wa size, hivyo mtu unapoachwa huna sabbu ya kuanza kujijudge muonekano wako au kipato chako kuwa eti ndio sabbu ya kutoachwa. Uwe na mvuto huna mvuto kuachwa kupo tu. Huwezi kumridhisha mtu kwa kila kitu km mwenyewe hajaamua kuridhika
20220830_134122.jpg
 
Back
Top Bottom