Jamani mimi mapenzi tena basi!

Jamani mimi mapenzi tena basi!

Uache kujipendekeza Kwa Mademu. Wanawake ukijipendekeza umejichimbia kaburi.

Tabia ya wanaume wanaojipendekeza ni kama;

1. Kulalamika lalamika kila mara.
2. Kumshobokea demu kila muda yaani wewe ndio unajipendekeza kupiga simu na kutuma text wakati demu yeye Hana habari.

3. Kumsifia sifia na kujiliza liza kama jike. Mara oooh mbona unatumika, mbona hujibu text zangu na blah blah kibao.

4. Kuwa na kademu kamoja kama mke wako. Kijana lazima uwe na vidosho hata vitano. Ukiwa navyo hivi huwezi kuleta mada za namna hizi huku.

We unafikiri demu gani atakubali kuwa na mwanaume aliye-single. Mademu hupenda kusikia wasifu wako unaokutambulisha kama mwanaume rijali. Na urijali ni nini kama si kuwa na mademu wengi.

Uache kujipendekeza Kwa Mademu alafu uje kunambia
Aiseee nimeipata point yako mzee
 
Mimi siku niliyokwenda kutoa mahari nikaulizwa we ndo mwenye ujauzito? Basi nililia Sana Kwa kuwa sikuwahi kulala naye hata mara moja lakini Bibi yangu alinitia moyo na kuniambia wazuri bado wanazaliwa wengi na sasa Ninaye mzuri kushinda Yule kwa vyote na moyo wangu umetulia na nilshamsahau ingawa mara chache nakulaga papuchi kufidia gharama zangu
 
Mimi siku niliyokwenda kutoa mahari nikaulizwa we ndo mwenye ujauzito? Basi nililia Sana lakini Bibi yangu alinitia moyo na kuniambia wazuri bado wanazaliwa wengi na sasa Ninaye mzuri kushinda Yule kwa vyote na moyo wangu umetulia na
Pole kwa yaliyokupata na hongera kwa ulipo hivi sasa, hii imenipa matumaini.
 
Every cause serves a purpose. Usijutie na wala sioni kama una mapungufu. It's a matter of time utapata wa kwako.
 
Ndg yangu pole sana tena sana kutoa Mali si hoja mm mali imeludishwa na ndoa ilitakiwa kufungwa tarehe 28/6/2017 niliumia sana ila ilifika wakati nikawa na maamuzi na pia nilijiuliza maswal haya

1..kwanini niumie je? ndiyo yy pekee hapa duniani?
2..kwanini hili swala limetokea mungu kaniepusha na nini?
3..nikijiuwa au nikiwamrevi wa kupindukia faida itakuwa kwa nani?
4..kwanini niendekeze mapenzi yanafaida gani kwangu na kwa nini nalazimisha vitu ambavyo mungu ajapanga kwann?

Baada ya kupata hayo majibu tokea siku hyo mpaka leo cjawahi kumfikilua kiumbe kinachoitwa mwanamke, sio kwamba nimewachukia hapana ila ikifika muda mungu atafungua njia

Cha kukushauri ww mwanaume cha kufanya angalia maisha yako hyo mimba icwe kigezo cha kukuwazisha eti mimba acha ajifunguwe itajulikana kuwa mwanaume na mwenye maamuzi mazito ya kiume.
 
Mimi ungenielekeza huko Gym,unapofanyia mazoezi nami niwe na body yenye mvuto kama wewe!
 
Ndg yangu pole sana tena sana kutoa Mali si hoja mm mali imeludishwa na ndoa ilitakiwa kufungwa tarehe 28/6/2017 niliumia sana ila ilifika wakati nikawa na maamuzi na pia nilijiuliza maswal haya

1..kwanini niumie je? ndiyo yy pekee hapa duniani?
2..kwanini hili swala limetokea mungu kaniepusha na nini?
3..nikijiuwa au nikiwamrevi wa kupindukia faida itakuwa kwa nani?
4..kwanini niendekeze mapenzi yanafaida gani kwangu na kwa nini nalazimisha vitu ambavyo mungu ajapanga kwann?

Baada ya kupata hayo majibu tokea siku hyo mpaka leo cjawahi kumfikilua kiumbe kinachoitwa mwanamke, sio kwamba nimewachukia hapana ila ikifika muda mungu atafungua njia

Cha kukushauri ww mwanaume cha kufanya angalia maisha yako hyo mimba icwe kigezo cha kukuwazisha eti mimba acha ajifunguwe itajulikana kuwa mwanaume na mwenye maamuzi mazito ya kiume.
Duuh asante sana mkuu
 
Mhmmh kurudishiwa mahari sidhani kama ni busara, ndo nipo natafakari jinsi ya kufikisha taarifa japo binti ameniomba sana nisiseme kwao, amelia sana machozi hayakauki. Najikuta naingiwa na huruma saa nyingine.

Kama ametoka nje baada tu ya kulipiwa mahari, huyo nakuambia atakuzingua.... Ukitaka mwambie unawaambia wazazi wake, then ikiwezekana katika kikao na wazazi wake , huko ndio kamsamehe na uwaambie kabisa akirudia, au ukihisi tu , wala huna haja ya kutoa taarifa utamrudisha kwao.
labda hapo unaweza kumsamehe, ukimsamehe kivyako tu bila ushahidi kama huo wa watu wazito (wazazi) atakuzingua.
 
"Coz ninampa kila anachotaka kuanzia mapenzi mpaka BASIC NEEDS" hapo tu ndo ulipofail ukimpa mwanamke kila anachotaka maana ake you are not man enough kwahiyo lazima akutafutie mwenzako..no challenge no attraction no love...
 
Jipe breki kwanza jikeep busy na mishe zako usisahau kumshirikisha Mungu kuhusiana na swala lako

Ni mapito tu hizo pombe usinywe tena maana hazisaidii kitu

Ni swala la muda kila kitu kitakua sawa tu kwa muda sahihi uliopangiwa
amesema anaingiza sh ngapi kwa siku? ni hapo tu nimeona
 
Back
Top Bottom