Jamani mimi mapenzi tena basi!

Jamani mimi mapenzi tena basi!

Pole mkuu mengine ni maroho machafu yanayokuandama wala ww huna kasoro yyte vingne ni laana huenda wazaz wako waliwatendea mabinti waliowapenda then wao wakawafanya vibaya sasa ngoma imekuja kurudii kwako ila nenda kwa mchungaji mwambie akuombee then na ww jifunze kumuomba mungu akuondolee mabalaa yanayokuandama kwenye mahusiano yako nadhani mambo yataenda sawa mkuu pole sana sna mungu akutie wepec ktk hili gumu unalopitia
 
Sasa kaka kuhusu ujauzito ickupe shida msaidia kumtuza kisha utapima DNA ikiwa sio wako uciumie kwani yote ni majaribu mungu anaendelea kukutafutua akupendae sorry kama ujapenda ushaur wangu
Asante kwa ushauri wako, wengi wamenishauri kupima DNA nadhani itabidi nifanye ivo
 
pole mkuu ila sasa ndugu yangu ujue ukiwa na pesa inabidi uwe makini wengi tunafuata mapesa yako .. pole sana angalia namna unavyohandle mahusiano yako ..
usikute mna attitude tofauti mfano wewe upo serious sana halafu unatongoza demu mcheshi haloo atatafuta wa kaliba yake na humo ndiyo atakucheat.....jitahidi muwe mnafanana mambo... muulize huyo demu kwa nini amekucheat awe honest kwako
 
Pole mkuu mengine ni maroho machafu yanayokuandama wala ww huna kasoro yyte vingne ni laana huenda wazaz wako waliwatendea mabinti waliowapenda then wao wakawafanya vibaya sasa ngoma imekuja kurudii kwako ila nenda kwa mchungaji mwambie akuombee then na ww jifunze kumuomba mungu akuondolee mabalaa yanayokuandama kwenye mahusiano yako nadhani mambo yataenda sawa mkuu pole sana sna mungu akutie wepec ktk hili gumu unalopitia
Ushauri wako umenitia moyo, nashukuru sana
 
Inaniuma sana nimetoka kumtolea mahari wiki mbili zilizopita tena mahari kubwa mno si unawajua wachaga tena?

Achana na habari ya mimba, kama una ushahidi toa taarifa kwa wazazi wake wakurudishie mahari...achana na huyo binti hana maana. Huyo atakuja kukusumbua sana.
Mtoto acha azae hudumia , ukipata mke mwingine atalea...
 
pole mkuu ila sasa ndugu yangu ujue ukiwa na pesa inabidi uwe makini wengi tunafuata mapesa yako .. pole sana angalia namna unavyohandle mahusiano yako ..
usikute mna attitude tofauti mfano wewe upo serious sana halafu unatongoza demu mcheshi haloo atatafuta wa kaliba yake na humo ndiyo atakucheat.....jitahidi muwe mnafanana mambo... muulize huyo demu kwa nini amekucheat awe honest kwako
Asante ndugu yangu, itabidi nijifunze kua mcheshi maana huenda ndio kasoro yangu coz mimi hua sijui kuchangamka ni mkimya sana mda mwingi.
 
umejisifia sana lipia tangazo kw max melo
 
Achana na habari ya mimba, kama una ushahidi toa taarifa kwa wazazi wake wakurudishie mahari...achana na huyo binti hana maana. Huyo atakuja kukusumbua sana.
Mtoto acha azae hudumia , ukipata mke mwingine atalea...
Mhmmh kurudishiwa mahari sidhani kama ni busara, ndo nipo natafakari jinsi ya kufikisha taarifa japo binti ameniomba sana nisiseme kwao, amelia sana machozi hayakauki. Najikuta naingiwa na huruma saa nyingine.
 
Ongea na wazee wako mrudishe mahari huyo sio mke wa kuoa, kama anarukaruka na kiumbe tumboni, hafai

Inakuja suala jingine hapa, mtoto atakuwa ni wako kweli huyo? DNA ihusike tafadhali immediately akishajifungua

Afu you are young, live alittle, achana na stress za commitment sasa hivi. . We tafuta pesa, fanya mambo ya maendeleo na kula bata kidogo, ukiwa unasubiri ukue kue
Hahaaaa umenichekesha eti nikiwa nasubiri nikue kue, shukrani naona swala la DNA lazma lifanyike coz ni wengi wamenishauri ivyo
 
Habari za mwezi mtukufu wa ramadani!

Mimi ni mgeni humu jamii forums lakini nahisi nyinyi ni watu wenye upendo na ushauri mzuri basi naombeni ushauri wenu.

Sijui nina kasoro gani maana kila ninapopenda natendwa, sijui ni kwanini kwa sababu ninadhani ninavyo almost vitu vyote ambavyo mabinti au wanawake hupenda kwa mwanaume, lakini nashangaa kila mwanamke nimpendae mwisho wa siku huishia kunitenda, kama sio kuniacha basi atanisaliti.

Ngoja kwanza nitoe wasifu wangu, mimi ni kijana wa makamo nina miaka 27 kwa sasa, nina kazi nzuri inayonilipa vizuri mbali na hapo nina biashara zangu binafsi za nyumba na viwanja (real estates) zinazoniingizia si chini ya laki 5 kwa siku namshukuru mungu pesa ya kubadili mboga na mafuta ya gari haisumbui. Pia nimebahatika kupata nafasi ya kuhudhuria gym kila siku tano za wiki hivyo mwili wangu unaonekana vyema na pia sura yangu si nzuri wala si mbaya nadhani nipo kwenye kundi la watu wa kawaida ki mtazamo wa sura. Ukija katika upande wa uanaume ki ukweli namshukuru mungu kanijalia mtarimbo wa maana na show napiga ya uhakika siyo kwamba najisifia ila huo ndo ukweli halisi, kiufupi bao la kwanza hua hata sipumziki naunganisha, (hapo kama nimeenda kavu na binti ninae muamini kiafya).Na kila binti niliyewai kushiriki nae tendo la ndoa hudhihirisha dhahiri ufundi wangu katika shughuli hiyo.

Lakini cha ajabu nimekua mtu wa nuksi kila binti ninaeamua kua nae katika uhusiano mwisho wa siku huishia kuniacha au kunisaliti (Kunicheat) najiuliza why? coz ninampa kila anachohitaji kuanzia mapenzi mpaka basic needs n.k.

kilichofanya niandike waraka huu ni binti niliyempata mwaka jana mwezi november ambae alikua tofauti na wengi walionisaliti, yeye alionekana innocent sana kuanzia sura mpaka matendo basi nikasema asante mungu baada ya kusalitiwa na wanawake kama kumi hatimae umenipa binti wa ndoto zangu. Yani akaichukua akili yangu akanifanya nimuamini kupita maelezo, na wiki mbili zilizopita nimetoka kumtolea mahari baada ya kupata ujauzito.

Lakini navyoandika huu ujumbe kwa sasa ni hivi binti huyo nimemfumania live akiwa na tauro tu na njemba jingine kwenye nyumba jirani hapa mtaani kwetu kwa msaada wa wasamaria wema, ki ukweli niliishiwa nguvu na mpaka sasa navoandika sijui nifanye nini maana hata wazazi wa pande zote mbili zijawaeleza kilichotokea na binti analia mda wote anaomba nimsamahe lakini moyo wangu umekua mgumu kumsamehe roho inaniuma sana na nimeanza kupata mashaka uenda mimba siyo yangu.

Sasa hapa nilipo nimechanganykiwa nimenunua mapombe makali ndiyo nakunywa 24 hours sijui nifanye nini naumia sana na binti huyu ki ukweli nampenda sana, ndipo nilipomshirikisha rafiki yangu mmoja ndo akanielekeza nije huku jamii forums uenda nikapata njia.

Jamani naombeni ushauri wenu coz nahisi kufa kufa hivi..!
Pole sana broo naona umeongea kwa uchungu sana ila nachotaka nikushauri bado wako hujampata(namaanisha endelea kumwomba MUNGU akupatie mke mwema) siku ukimpata utatulia maana sioni ulipofanya kosa sasa cjui kwa nn anafanya hivyo.
Sasa na rudi kwa lililotokea nashauri ACHANA NA HUYO MWANAMKE NA MCHAKATO WA KUOA ACHANA NAE, maana huwezi jua Mungu kakuonyesha nn huenda kuna mengi ambayo huyajui na ingekuwa mbaya zaidi ungeyajua ndani ya ndoa,we waeleze ndugu 'black & white' maana hamna kitu kibaya mwanamke ushaamua kuoa analeta vitu vya namna hiyo, usije ukajifariji kwamba ukioa atabadilika,huyo ni kunguru bro hafugiki.
Kaa na washkaji unaowaamini watakufariji kwa situation unayopitia inauma ila kuwa na roho ya kiume hamna namna ipo cku hata huli litapita.
Pole sanaaaaaaaa,ya kwangu ni hayo tu.
 
mbona si suala la kuwaza,mwache aende...Mali ziache...waelezee ulichokiona wazazi wote wa pande mbili kisha achana nae...mtoto akizaliwa Pima DNA kama wako tua matunzo...jiolee mwanamke mzuriii...tatizo mnachagua sana....na mkiwa na vihela ndo mwataka vizuri sura vinawaumbua
Asante kwa ushauri
 
Pole sana broo naona umeongea kwa uchungu sana ila nachotaka nikushauri bado wako hujampata(namaanisha endelea kumwomba MUNGU akupatie mke mwema) siku ukimpata utatulia maana sioni ulipofanya kosa sasa cjui kwa nn anafanya hivyo.
Sasa na rudi kwa lililotokea nashauri ACHANA NA HUYO MWANAMKE NA MCHAKATO WA KUOA ACHANA NAE, maana huwezi jua Mungu kakuonyesha nn huenda kuna mengi ambayo huyajui na ingekuwa mbaya zaidi ungeyajua ndani ya ndoa,we waeleze ndugu 'black & white' maana hamna kitu kibaya mwanamke ushaamua kuoa analeta vitu vya namna hiyo, usije ukajifariji kwamba ukioa atabadilika,huyo ni kunguru bro hafugiki.
Kaa na washkaji unaowaamini watakufariji kwa situation unayopitia inauma ila kuwa na roho ya kiume hamna namna ipo cku hata huli litapita.
Pole sanaaaaaaaa,ya kwangu ni hayo tu.
Shukrani sana kwa busara zako ndugu yangu
 
Back
Top Bottom