Jamani mchina kanambia ananipenda, ushauri wanajamvi...

mmmh, nunua 'ear plug' wana makelele kama unagonga vyuma, afu mwisho wanazimia kama stering kwenye muvi.

ha ha haaa! Kongosho bhana! Kelele zake mi ndo nazijua hasa napokuwa nae faraqhaa... Kwani we umeshaonja penza la Mchina?
 
Imepita takribani miezi
mitatu huku tukichat kwa sms na kupigiana simu mara kwa mara tangu
tufahamiane hatimaye kubadilishana namba za simu, amekuja Tanzania kama
mfanyakazi(engineer) na yupo hapa kwa miezi tisa, baada ya hapo atakuwa
amekamilisha project yake.. Juzi huyo mdada wa Kichina alikuja chuoni
kunitembelea tuliongea vitu vingi sana, ila nilishangaa kunitamkia kuwa
ananipenda na yuko serious..naombeni msaada nimkubalie?

huu ni uamuzi ambao ni wewe pekee unaweza kuufanya bila kushauriwa!
 
Kama ni mdada kakwambia hiyvo, she means it! Kwahiyo angalia kama unanafasi kumoyo wako.
 
ha ha haaa! Kongosho bhana! Kelele zake mi ndo nazijua hasa napokuwa nae faraqhaa... Kwani we umeshaonja penza la Mchina?

Kumbe mmeshaingia 6x6 sasa kipi tukwambie zaidi. Hayo maneno amekwambia wakati unahemea kifuani kwake au, maana kama ni time hiyo atakuwa anahitaji mtwangio tu kwako au mashamu shamu tu. Miezi yote hiyo bila kukunwa sometiemes difficult.
 
Mapenzi ni mapenzi usijali mswahili,mchina wala mzungu.By the way ukisusa wewe mie nipe namba yake
 
Asa ushauriwe nn na ss na ww ndo ulopendwa?! Its between you and your heart to decide.

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom