CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 930
Kabla ya gemu lazima watumie supu ya chura ili kiuno kilainike!!chinese? mi 4 sure cjui ktk love wakoje, anaejua jaman msaidien huyu jamaa asije cheze konfuuu huko mbeleni.
Kabla ya gemu lazima watumie supu ya chura ili kiuno kilainike!!chinese? mi 4 sure cjui ktk love wakoje, anaejua jaman msaidien huyu jamaa asije cheze konfuuu huko mbeleni.
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha!Hakikisha hamfanyii maudhi yoyote chumbani, vinginevyo tutakukuta kibogoyo baada ya meno yote kung'olewa kwa kungfu.
Kiongozi ili upate msaada wa ushauri wa haraka kuhusu kuzama penzini na dada yake Marehemu Bruce Lee ebu tupia neno nakupenda kwa kichina ili niweze kukufanyia evaluation kama unamudu mahubat ya kichinese.Imepita takribani miezi mitatu huku tukichat kwa sms na kupigiana simu mara kwa mara tangu tufahamiane hatimaye kubadilishana namba za simu, amekuja Tanzania kama mfanyakazi(engineer) na yupo hapa kwa miezi tisa, baada ya hapo atakuwa amekamilisha project yake.. Juzi huyo mdada wa Kichina alikuja chuoni kunitembelea tuliongea vitu vingi sana, ila nilishangaa kunitamkia kuwa ananipenda na yuko serious..naombeni msaada nimkubalie?
Imepita takribani miezi mitatu huku tukichat kwa sms na kupigiana simu mara kwa mara tangu tufahamiane hatimaye kubadilishana namba za simu, amekuja Tanzania kama mfanyakazi(engineer) na yupo hapa kwa miezi tisa, baada ya hapo atakuwa amekamilisha project yake.. Juzi huyo mdada wa Kichina alikuja chuoni kunitembelea tuliongea vitu vingi sana, ila nilishangaa kunitamkia kuwa ananipenda na yuko serious..naombeni msaada nimkubalie?
Hakikisha hamfanyii maudhi yoyote chumbani, vinginevyo tutakukuta kibogoyo baada ya meno yote kung'olewa kwa kungfu.
i guess one of these days kuna mtu atakuja kuomba ushauri wa namna ya 'kukata gogo' hapa JF
Kabla ya gemu lazima watumie supu ya chura ili kiuno kilainike!!
Wanawake wa kichina wanatupenda sana wanaume wa kiafrika kwa sababu tumejaliwa kuwa na maumbile makubwa ya sehemu zetu za siri ukilinganisha na wachina ila bado sijajua kwa nini wao wachina hawatumii dawa zao kuongeza maumbile yao.
katika mapenzi utamaduni humata sana, je umeujua utamaduni wao na umeridhia? Ushauri bora muulize utamaduni wao ktk suala zima la mapenzi....usikute kwao mme au mke kuwa na kidumu ni kosa la kunyongwa, bt sisi wabongo ni fasheneni tu...think in wide.