Mwambie akufungulie Account hapahapa Bongo na Uimiliki wewe mwenyewe na iwe na pesa ya kutosha. Asije akafanya uhuni na kuondoka.
i guess one of these days kuna mtu atakuja kuomba ushauri wa namna ya 'kukata gogo' hapa JF
angalia kati ya t.a.k.o lako na la mchina la nani kubwa. km lake ni kubwa basi oa lkini kama lako kubwa mwambie anywe kwanza zile dawa zao ili awe na mahaga do uweke ndani
Jamani, kama hakuna aliyejaribu kuduu na mchina asijaribu maana ndoa itavunjanjika hv akiona, mi juzi wakati alikujakuja kunitembelea yaliyonikuta bora nimsahau mpenz wangu, maana cjawai kuona aiseee
inaonyesha na wewe pia unampenda, nakushauri uwe nae. kina dada wa kichina wana mapenzi ya dhati, ni watu wema sana, ni wakweli, wapole na wana mapenzi ya dhati kutoka mioyoni mwao.