Simara
JF-Expert Member
- Oct 1, 2014
- 7,354
- 23,255
huyo Lulu nation nilishindwa vumilia nikamuambia dada mbona mbovu sana halafu kutwa kusema watu.? Halafu una njaa sana kwanini usikae huo muda ukawa unatafuta hela ujikwamue kiuchumi uwiiii nilishushuliwa ikafuatwa blockWabovuu vibaya mnooo!kama wale kina lulu nation kujifanya walikua wanaponda watu wenyewe sura kama hovyooo sasa hivi hachambi tena,yule carry nae wa hovyooo kichizi,yule cpffe table sasa wa kawaida sana!