Myahudi Jr II
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 6,703
- 8,481
Mahusiano unaweza ukawa nayo ambayo malengo ya kuoana hayapo. Pengine aliachwa au waliachana kwa amani.
Kwani mkuu wewe kwenye mahusiano yako hauna ma ex?
Nimekuelewa, Ma ex kanyaga
Mahusiano unaweza ukawa nayo ambayo malengo ya kuoana hayapo. Pengine aliachwa au waliachana kwa amani.
Kwani mkuu wewe kwenye mahusiano yako hauna ma ex?
Halafu wasambaza umbea sasa, picha zao wenyew wanaogopa kuzipost kwa page zao.Wabongo utawawezaaa!!!!yaani unaafiki mtupu umetujaaaa
Ni muhaya.Shemeji yetu KAJALADIA! Ila mpiga picha kajitahidi kunogesha. Its quite strange kila msichana wa kibongo akipiga picha hutokea 'mweupe pee'. Ila ukikutana naye, utachokwa mwenyewe. Mfano huyu Cute Mena, am sure hii sio rangi yake kabisa. Ni mweusi tii!
kanyagaaaNimekuelewa, Ma ex kanyaga
Huyo mwanamke kwa apperiance yake hata kwa pesa au mtutu wa bunduki siendi naye Kanisani au Msikitini eti naenda kumfanya mke wangu.
Hao miezi sita mingi washavurugana na hivi anajua huyo bwana alimwaga chozi siku alipomposa basi atakoma.
Ni muhaya.
Ulishawahi ona muhaya mweupe hiv?
Halafu wasambaza umbea sasa, picha zao wenyew wanaogopa kuzipost kwa page zao.
Ahaa we ni mweupe?Una maanisha hamna wahaya weupe?
Ahaa we ni mweupe?
Wew je.Wapo weupe bhana, sema ni wachache
Wew je.
Nipigie picha hata ya miguu
Acha wivuHuyo mwanamke kwa apperiance yake hata kwa pesa au mtutu wa bunduki siendi naye Kanisani au Msikitini eti naenda kumfanya mke wangu.
Hao miezi sita mingi washavurugana na hivi anajua huyo bwana alimwaga chozi siku alipomposa basi atakoma.
Waache waoane....Mc wa taifa leo anaoa..juzi ndo ilikua send off
Harusi ya taifa,uwanja wa taifa
Ila taifa lina mambo mengi saaana hadi mengine hayakumbukwi!
Hongera mc pilipili..Mungu aisimamie ndoa yako ijae baraka tele na furaha tele!
View attachment 1141663View attachment 1141664
Ni nani huyu..?
Mimi ni mkongwe sana humu hii ID kuwa mpya isikutisheSoma nyuzi mbali mbali kwanza, halafu nenda jukwaa la wageni kajitambulishe
Mwenzangu mi sijui.kila..ila wengi wanasema waliyashuhudia hayo mabonde na milima