Binti Maringo
JF-Expert Member
- Jul 4, 2007
- 2,804
- 97
Mbona ushapewa nafasi hapa kunipa hizo link?
Kwanza angalia siku niliyojiunga hapa na siku za kampeni ya Kikwete, tofauti.
Yatakushinda.
It doesn't matter nimejiunga lini na kampeni zilikuwa lini.What matter is ulisema na wewe mwenyewe umeji contradict kuwa ulishamfanyia kampeni kikwete 2005 and 1995 hello! wake up.
Link zitakusaidia nini? kwa nini msifungue chama chenu na tuone hizo sera zenu than kukaa na kukandamiza CCM kama kweli mnataka kuondoa ufisadi and all that then badala ya kukaa na kuangalia matatizo ya CCM mlitakiwa kukaa na kuangalia what you can do to change the country.