Jamani laana hii ni ya kujitakia!!!!!!!

Jamani laana hii ni ya kujitakia!!!!!!!

masopakyindi

Platinum Member
Joined
Jul 5, 2011
Posts
18,410
Reaction score
14,120
Mjengo huu mali ya Mstahiki mmoja mikoa ya kati,una kalaana ka aina fulani.
Upo pale Mbezi mkabala na kanisa la Mbezi Luth Church.
Hadithi inasema kiwanja kilichopo jengo hilo ilikuwa mali ya kanisa, ila kiliporwa na wajanja kwa kutumia mheshimiwa mmoja aliyekuwa waziri pale Ardhi.
Toka jengo lijengwe wapangaji hawakai, sasa hivi ni miaka.
View attachment 84576
 
Hilo eneo likoje, linafikika kwa urahisi?
Au jamaa anawapangisha kwa bei kubwa kiasi kwamba wapangishaji hawapati faida?
 
Nakumbuka palikuwa na gym hapa kwa ghorofani, umenifanya nifikirie mara mbili mbili maana kwa jinsi jengo lilivyo vizuri na linafikika kirahisi sio kawaida kuwa ktk hali hii!
 
Mjengo huu mali ya Mstahiki mmoja mikoa ya kati,una kalaana ka aina fulani.
Upo pale Mbezi mkabala na kanisa la Mbezi Luth Church.
Hadithi inasema kiwanja kilichopo jengo hilo ilikuwa mali ya kanisa, ila kiliporwa na wajanja kwa kutumia mheshimiwa mmoja aliyekuwa waziri pale Ardhi.
Toka jengo lijengwe wapangaji hawakai, sasa hivi ni miaka.
View attachment 84576
hii laana itakitafuna chama cha waziri husika na serikali yake.


Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
hii laana itakitafuna chama cha waziri husika na serikali yake.


Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

Kweli mkuu lakini laana huwa very specific kwa mtu sliyetenda maovu.
Hivi mtu aliyelitapeli kanisa anasafishika kweli?
 
Kweli mkuu lakini laana huwa very specific kwa mtu sliyetenda maovu.
Hivi mtu aliyelitapeli kanisa anasafishika kweli?
Arudi kuomba msamaha na kurudisha kile alichokitapeli kwendana na thamani yake kwa sasa atasamehewa na akigombea 2015 atapata ubunge hivihivi labda aendelee kujichumia dhambi za wizi wa Kura! Manake ile laana ya utapeli na ,ajonzi ya watapeliwa bado inamfwata!
 
Nakumbuka palikuwa na gym hapa kwa ghorofani, umenifanya nifikirie mara mbili mbili maana kwa jinsi jengo lilivyo vizuri na linafikika kirahisi sio kawaida kuwa ktk hali hii!
Na ni ajabu zaidi kwa ground floor Iiliyokuwa Imalaseko)kukosa wateja katika biashara yoyote.
Cheki ilivyosindiriwa na magazeti.
Watubu ili wapate kusamehewa na wana Mbezi.
 
Naona pale juu kuna "Smile Dental Centre", kuna kinachoendelea hapo au limebaki bango tu? Nataka niwasaidie kutangazia wateja.
 
Arudi kuomba msamaha na kurudisha kile alichokitapeli kwendana na thamani yake kwa sasa atasamehewa na akigombea 2015 atapata ubunge hivihivi labda aendelee kujichumia dhambi za wizi wa Kura! Manake ile laana ya utapeli na ,ajonzi ya watapeliwa bado inamfwata!
Kweli kabisa mkuu, kama mtu ana roho ya kutapeli kanisa, hazina ya serikali si ndio itakuwa mchezo?
 
Ni kweli kabisa, nipo jirani sana na hapo na hiyo ndio hadithi yenyewe, wala usimungunye, wenyeji wanasema hilo ni eneo la kanisa la kilutheri na jamaa waligawiana kinyemela na waziri mkuu mmoja mstaafu (actually hilo la imalaseko ni la huyo aliyekua waziri na la jirani yake, kwenye tawi la benki ndio la mstahiki mmoja)

hii taarifa ipo siku zote

ushauri wangu kwa hao mashemeji wawili ni kwamba wadonate tu hilo eneo back, hawatapungukiwa na kitu
 
Hii ni mali ya adam kimbisa, inasemekana ni fisadi mkubwa sana, ni mwenyekiti ccm mkoa dodoma, ni mbunge bunge la afrika mashariki, ni kada wa ccm. Kwa taarifa za siku nyingi ni kwamba kile kiwanja kilikuwa cha kanisa lutheran
 
Jengo ni mali ya ALHAJI ADAM KIMBISA na waziri aliyekuwa na dhamana ya ardhi ni NDUGU EDWARD LOWASSA........Hiyo ardhi ilikuwa nali ya TBL kabla ya ubinafsishaji na ARNOLD KILEWO ndiye aliye lobby kanisa kupata kiwanja na si kinyume chake. Lowassa kama muumini wa KKKT nae akawapa kanisa. Kukosa biashara kwa jengo ni suala la msimamo wa mmiliki.
 
Jengo ni mali ya ALHAJI ADAM KIMBISA na waziri aliyekuwa na dhamana ya ardhi ni NDUGU EDWARD LOWASSA........Hiyo ardhi ilikuwa nali ya TBL kabla ya ubinafsishaji na ARNOLD KILEWO ndiye aliye lobby kanisa kupata kiwanja na si kinyume chake. Lowassa kama muumini wa KKKT nae akawapa kanisa. Kukosa biashara kwa jengo ni suala la msimamo wa mmiliki.

Usipindishe ukweli mkuu.
Kilewo ndiye aliwapa KKKT na katika kubadili matumizi ardhi, Waziri mwenye dhamana ndiye alikigawa.
Hao waliofaidika na mgawo ni ndugu zake ,rafiki zake(wengi ni wa Arusha), shemeji yake.
HUO NDIO UKWELI.
 
Usipindishe ukweli mkuu.
Kilewo ndiye aliwapa KKKT na katika kubadili matumizi ardhi, Waziri mwenye dhamana ndiye alikigawa.
Hao waliofaidika na mgawo ni ndugu zake ,rafiki zake(wengi ni wa Arusha), shemeji yake.
HUO NDIO UKWELI.

Sasa nimepindisha ukweli gani? Nimekwambia kiwanja chote kuanzia hapo NBC mpaka KKKT unashuka mpaka BILLY Lodge ilikuwa mali ya TBL yaani Tanzania Breweries.......unless humjui Kilewo ni nani.....Kanisa walipewa sehemu yao na KIMBISA akapewa sehemu yake na wengine wmjuao Lowassa nao wakapata ikiwemo KKKT
 
Ni kweli kabisa, nipo jirani sana na hapo na hiyo ndio hadithi yenyewe, wala usimungunye, wenyeji wanasema hilo ni eneo la kanisa la kilutheri na jamaa waligawiana kinyemela na waziri mkuu mmoja mstaafu (actually hilo la imalaseko ni la huyo aliyekua waziri na la jirani yake, kwenye tawi la benki ndio la mstahiki mmoja)

hii taarifa ipo siku zote

ushauri wangu kwa hao mashemeji wawili ni kwamba wadonate tu hilo eneo back, hawatapungukiwa na kitu
Unamwambia mwenzio " usimung'unye" wakati wewe unafanya vivyo hivyo! Au pamerushiwa mapepo wachafu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom