Jamani kwa wale mlioona post za huyu dogo mitandaoni hebu fanyeni kitu?

Huyo kijana pumzi anayovuta kila Siku ni mateso, "every breath he takes its torture" kwake. kwa vile wewe una uzima wa kutosha unaweza usione mantiki ya yeye kuachia alichong'ang'ania. Maumivu makali ya jino yanayosabisha usiku mtu asilale yanapoaga na kurejesha amani baada ya jino kung'olewa hapo ndio utajua kuna wakati inabidi uachane baadhi ya vitu maishani ili upate amani na furaha. Dogo kwa sasa amani yake ni kuachia mwili uzikwe ili yeye apate Peace vinginevyo excruciating and nagging pain zitamtesa sana na kifo kiko pale pale kwa aina ya ugonjwa wake.
Baba yetu Mungu tuachane nae maana hatuwezi kumuelewa kwa akili zetu hizi za kawaida na ninaomba usinigombanishe nae. Teh teh teh!
Tafadhali sana.
Sijakugombanisha mkuu ila kwa shida ya dogo kumsaidia ni maombi,nakumbuka niliwahi kuwa na babu yangu aliugua sana mpaka vidonda kitandani tukaona anateseka sana,tulichokifanya tukaita mashekhe kwa maombi kwa Muumba tena kwa ombi "Ewe Mwenyezi Mungu kiumbe wako anapata mateso kutokana na maradhi,kama umemkadilia umri mwingi basi mponye lkn maradhi haya ndio sababu ya kuondoka kwake basi mchukue" ilichukua masaa tu usiku akaondoka,kwahiyo itokeapo mtihani kama
wa Rajab kumuombea uzima tu lkn pia shida aipatayo ni mtihani kwake na kwetu tulip na uzima,uzima tulionao si kitu tena Mungu akiamua kukuonesha haichukui masaa ndipo utambue uwepo wake na wanadamu ukishashiba kande na balimi juu basi maneno yanakutoka hujui mwisho wako wala kizazi chako kitaishia wapi anaweza asikutandike wewe ila akapiga familia na toba yake ukaileta huku si kwamba anakuonea mtoto wako labda Mdogo sana ila kukuonesha ukuu na nguvu zake na utambue hachagui wa kumpa iwe mtoto au mkubwa kwani wote ni wake.
 
Sijakugombanisha mkuu ila kwa shida ya dogo kumsaidia ni maombi,nakumbuka niliwahi kuwa na babu yangu aliugua sana mpaka vidonda kitandani tukaona anateseka sana,tulichokifanya tukaita mashekhe kwa maombi kwa Muumba tena kwa ombi "Ewe Mwenyezi Mungu kiumbe wako anapata mateso kutokana na maradhi,kama umemkadilia umri mwingi basi mponye lkn maradhi haya ndio sababu ya kuondoka kwake basi mchukue" ilichukua masaa tu usiku akaondoka,kwahiyo itokeapo mtihani kama
wa Rajab kumuombea uzima tu lkn pia shida aipatayo ni mtihani kwake na kwetu tulip na uzima,uzima tulionao si kitu tena Mungu akiamua kukuonesha haichukui masaa ndipo utambue uwepo wake na wanadamu ukishashiba kande na balimi juu basi maneno yanakutoka hujui mwisho wako wala kizazi chako kitaishia wapi anaweza asikutandike wewe ila akapiga familia na toba yake ukaileta huku si kwamba anakuonea mtoto wako labda Mdogo sana ila kukuonesha ukuu na nguvu zake na utambue hachagui wa kumpa iwe mtoto au mkubwa kwani wote ni wake.
Sidhani kama Mungu mwenye upendo wote atakuwa na hasira za kupiga piga vizazi hadi vizazi kwa kosa la mtu mwingine.
I rest my case mkuu.
 
Nadhani mkuu haijamfikia habari hii ikimfikia lazima afanye kitu.
 
Habari wana-JF.
Nimesoma maoni ya watu wengi kuhusu huyu kijana.
Nikakumbuka kuna kujana kama huyu aliteseka sana na UKIMWI akafikia hatua kama ya huyu kijana.
Lakini hakukata tamaa, wala hakuharakisha kunywa sumu.
Huyu hapa kwenye picha.
Kukata tamaa, kunywa sumu, kukimbilia kufa, n.k. ni uamuzi wa mtu mwenyewe.
Ila wengine (kama huyu kijana) wanaweza kukataa huo 'ujasiri' kwa kukimbilia kifo, na hatimaya wakaweza kuendelea ma maisha kama huyu kijana.
Source: AIDS solution | exploring berkeley

View attachment 961230
An AIDS patient shows a picture of himself in 2003 before he received antiretroviral drug therapy and began a food program. He was so ill then that his family purchased his coffin. (Reuters Canada) .
Huyo ni mbunge msukuma bana hebu acha masihala
 
Kwenye maisha yangu nikifikia hali ya mateso kama haya simsumbui mtu yeyote kwa michango wala nini.. Nakunywa zangu sumu najifia kwa amani kabisa.
Hadi amefikia hali hii huyu dogo anaogopa kufa wakati ni walking dead tayari.
Ugonjwa hauwezi kuniadhiri hivi, nitakufa na utu wangu na sio kuadhirishwa hivi na ugonjwa. Siwezi.
Naungana nawewe
 
Sasa saratani ya mifupa stage alyofikia inatibika kweli? Maana asijekuwa tu anateseka mtoto wa wat siku zinaenda yeye anasubir kifo.

Naonaga nch za wenzetu kama china mgonjwa anayekuwakatika maumivu na hana matumain ya kutibika huwa anapumzishwa kwa aman.
Hakunaga kansa inayotibika
 
Kwenye maisha yangu nikifikia hali ya mateso kama haya simsumbui mtu yeyote kwa michango wala nini.. Nakunywa zangu sumu najifia kwa amani kabisa.
Hadi amefikia hali hii huyu dogo anaogopa kufa wakati ni walking dead tayari.
Ugonjwa hauwezi kuniadhiri hivi, nitakufa na utu wangu na sio kuadhirishwa hivi na ugonjwa. Siwezi.
Shukuru mungu una afya yako njema tu na ndiyo mana unaandika hivi
 
Kwenye maisha yangu nikifikia hali ya mateso kama haya simsumbui mtu yeyote kwa michango wala nini.. Nakunywa zangu sumu najifia kwa amani kabisa.
Hadi amefikia hali hii huyu dogo anaogopa kufa wakati ni walking dead tayari.
Ugonjwa hauwezi kuniadhiri hivi, nitakufa na utu wangu na sio kuadhirishwa hivi na ugonjwa. Siwezi.
Hapa umekosea
 
Amen dear Amen. Hakuna umuhimu wa kukuelezea, elewa na amini ulichoona. Hukumu yako nimeipokea kwa mikono miwili. You've a good night.
Daah pumzi inawadanganya wengi... nimeona dharau na kejeli katika andiko lako,

Karma is a dog.
 
Amen dear Amen. Hakuna umuhimu wa kukuelezea, elewa na amini ulichoona. Hukumu yako nimeipokea kwa mikono miwili. You've a good night.
You quote me twisted , sijakuhukumu bali nimekukumbusha kuhusu Karma.

Have a good night too.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom