Shida na raha
JF-Expert Member
- Aug 8, 2014
- 3,774
- 3,460
Habari zenu wakuu..niende moja kwa moja kwenye mada.
Kuna watu humu wanakua wanaponda sana wadada wa jf kwamba hamna kitu sijui wengi umri umeenda na maneno mengi yasiyo ya kweli.
Lakini kwa macho yangu nimebahatika kupata marafiki kama wanne wa kike aiseee ni hatari.
Ubaya hatukuanzisha mada za mapenzi hadi leo lakini kwakweli sifa zao nawapa. Utafikiri wametoka leo kwenye yai la mbuni.
Hongereni sana nyinyi marafiki zangu kwa kunifanya nianzishe mada.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna watu humu wanakua wanaponda sana wadada wa jf kwamba hamna kitu sijui wengi umri umeenda na maneno mengi yasiyo ya kweli.
Lakini kwa macho yangu nimebahatika kupata marafiki kama wanne wa kike aiseee ni hatari.
Ubaya hatukuanzisha mada za mapenzi hadi leo lakini kwakweli sifa zao nawapa. Utafikiri wametoka leo kwenye yai la mbuni.
Hongereni sana nyinyi marafiki zangu kwa kunifanya nianzishe mada.
Sent using Jamii Forums mobile app