Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
"Nataka niwaonye kuwa wasianzishe vita vya mawe wakati wanaishi kwenye nyumba ya vioo, tulipoanzisha vita vya ufisadi hatutanii, sababu tunayo, nia tunayo na uwezo tunao,"alisisitiza Bw. Nnauye.
hivi hawa ccm wanafikiri kuwa wananchi nimataahira? nani alianzisha vita ya ufisadi? huyu dogo mmmmh!!
hivi hawa ccm wanafikiri kuwa wananchi nimataahira? nani alianzisha vita ya ufisadi? huyu dogo mmmmh!!