achana naye mke wa mtu
Kweli kama ni mke wa mtu aachane nae asijifanye ye maziwa yakamtokea ya magomeni
achana naye mke wa mtu
Fuatilia tu mkuu kule nilikojibia hii habari utaelewa tu! pamoja na kwamba kichwa chako huwa kigumu kuelewa naamini ukisoma tena pale nilipomjibia yule ndugu utaelewa!! Maana mimi sikumaanisha unavyotaka kunilazimishia!!We differ .Grace kagame ni mrembo ?
Mi jackline silemu,akiwepo saa 2:00 ITV,lazima hiyo habari niiangalie jwa umakini mkubwa!
Nataka nikuoeNi mimi Jackline Silemu wa ITV
tafadhalini naombeni radhi kama nitakua nimemkwaza yeye au kwa mwingine yeyote yule sikua na nia yoyote mbaya .a'm very sorry kwa dada yangu huyo.naangalia namna ya kuufuta uzi huu ila unanishinda...Tumepokea promo yako ya kumboost hapa kazini,tutalifanyia kazi tangazo hili na promo yako kama inakidhi vigezo na Elim yake.
Uongozi:Kalahari Media
😛eep:wekeni picha.