Mimi U4s arrow. Ana mguu yule mama. Ila sijui roho yake tu.
Mi jackline silemu,akiwepo saa 2:00 ITV,lazima hiyo habari niiangalie jwa umakini mkubwa!
Mpelekee sms umwambie wewe ni mwimbaji wa taarab kwenye kikundi cha taarab cha.................(taja kikundi maarufu unachokifahamu) Hapo utampata!Nimetokea kumpenda sn huyu Mtangazaji wa Star Tv/RFA "Christina Mbezi"ila tatizo amegoma kupokea simu zangu...naumia sana.
Mbona wapo fresh tu nao.TBC kama mwamamke ana sura ya kuvutia hapati kazi. Sijui wanawaokotaga wapi ? Utakuta mi wigi ya kizamani hivi hawajui kwamba mwanamke lazima awe presentabo.
Kumbuka kwamba cha mtu MAVI. Huyu lazima atakuwa ni mali ya mtu, chunga sana
Huyu Jack yupo vizur sana.me mwenyewe namkubali sana.
Mbona wapo fresh tu nao.
Mi jackline silemu,akiwepo saa 2:00 ITV,lazima hiyo habari niiangalie jwa umakini mkubwa!
Hao hao ndio....Akina Jane John? Akina Grace nani vile? Aaaah nimemkumbuka Grace Kigarame! Akina Grace Mhando n.k!
Humtakii mema!!!Huyo akikukonyeza tu si itakuwa hatari
kuna Dada mmoja wa Kibaha yupo ITV mume wake alijipiga risasi NIKUUNGANISHIE?
U-4 saro
Nimetokea kumpenda sn huyu Mtangazaji wa Star Tv/RFA "Christina Mbezi"ila tatizo amegoma kupokea simu zangu...naumia sana.