Kalunguine
JF-Expert Member
- Jul 27, 2010
- 2,543
- 134
Ndugu zangu kuna kazi imetangazwa kwenye kampuni moja,watu wameapply ghafla mtu akaitwa pembeni na mtu wa karibu na HR akasema ili nipate hiyo kazi HR anataka kama kilo 8 hivi.Hivi kijana aliyetoka chuoni ambaye pesa ya fotokopi ya cheti ni ishu anatoa wapi hii pesa ukizingatia anatokea familia maskini.Kwa mpango huu kazi ni watu wenye pesa.