Jamani huku Bungeni kwema

Ginner

JF-Expert Member
May 8, 2011
1,459
1,832
Jamani jamani kwa hali hii bunge linavoenda enda ipo siku tutashawishika kuingia mtaani kama kinachotokea ukanda wa kiarabu duniani....bado na shaka na uwezo wa huyu naibu spika na spika makinda katika kuliongoza bunge hili. Sitta kaongea upuuzi dhidi ya wapinzani..bila aibu mwenyekiti kambeba kweupe...mara sauti za ajabu ajabu bungeni bila mpangilio...mara toka nje..mara nini kama mipasho bungeni..haya me naskilizia tu mwisho utakuwa ivo
 
mimi nasubiri siku wapasuane kwa viti kama jirani zetu wakenya,ndipo wataheshimiana.
 
Jamani jamani kwa hali hii bunge linavoenda enda ipo siku tutashawishika kuingia mtaani kama kinachotokea ukanda wa kiarabu duniani....bado na shaka na uwezo wa huyu naibu spika na spika makinda katika kuliongoza bunge hili. Sitta kaongea upuuzi dhidi ya wapinzani..bila aibu mwenyekiti kambeba kweupe...mara sauti za ajabu ajabu bungeni bila mpangilio...mara toka nje..mara nini kama mipasho bungeni..haya me naskilizia tu mwisho utakuwa ivo


Na hao ndo watachangia CCM kuanguka zaidi maana inakuwa haina viongozi compitent! Walijisahau mno nakujiona wao kama miungu sasa watz wameamka wanataka haki zao
 
Asee nimemskia s sitta leo asbh TBC NEWS ,anaongea upuuzi kuhusu wapinzani eti wana kauli nyepesinyepesi!af akagusia na mambo ya posho!! YAANI nilikuwa na chembechembe za mbaaali kumheshim yule mzee lakn leo kaniondolea vyooote hivyo, nimemdharau mojakwamoja kwa maneno yale ya kitoto alokuwa anaongea bungeni,nashkuru wkt huo mchakato wa bunge unaendelea nlikuwa mzigoni! Vingnevyo ningevunja tv yangu kwa hasira loool
 
Asee nimemskia s sitta leo asbh TBC NEWS ,anaongea upuuzi kuhusu wapinzani eti wana kauli nyepesinyepesi!af akagusia na mambo ya posho!! YAANI nilikuwa na chembechembe za mbaaali kumheshim yule mzee lakn leo kaniondolea vyooote hivyo, nimemdharau mojakwamoja kwa maneno yale ya kitoto alokuwa anaongea bungeni,nashkuru wkt huo mchakato wa bunge unaendelea nlikuwa mzigoni! Vingnevyo ningevunja tv yangu kwa hasira loool
Sijui Sitta ni kile kiti cha msukule pinda ndo kimemfanya hivyo!
Nilidhani atafaa kuwa raisi but naona bure kabisaaa!
ndo maana MAGAMBA yataendelea tuu!
 
asee nimemskia s sitta leo asbh tbc news ,anaongea upuuzi kuhusu wapinzani eti wana kauli nyepesinyepesi!af akagusia na mambo ya posho!! Yaani nilikuwa na chembechembe za mbaaali kumheshim yule mzee lakn leo kaniondolea vyooote hivyo, nimemdharau mojakwamoja kwa maneno yale ya kitoto alokuwa anaongea bungeni,nashkuru wkt huo mchakato wa bunge unaendelea nlikuwa mzigoni! Vingnevyo ningevunja tv yangu kwa hasira loool
speed and standard kushney, mihimili ya ccm iliyobaki ni magufuli na mwandosya wengine ni vilaza wanajua kujibu ndiyoo na siyoo
 
Jamani jamani kwa hali hii bunge linavoenda enda ipo siku tutashawishika kuingia mtaani kama kinachotokea ukanda wa kiarabu duniani....bado na shaka na uwezo wa huyu naibu spika na spika makinda katika kuliongoza bunge hili. Sitta kaongea upuuzi dhidi ya wapinzani..bila aibu mwenyekiti kambeba kweupe...mara sauti za ajabu ajabu bungeni bila mpangilio...mara toka nje..mara nini kama mipasho bungeni..haya me naskilizia tu mwisho utakuwa ivo
Tunaposema hakuna mzuri ndani ya CCM watu wanatushangaa na wengine kuwa na mashaka na kauli zetu. Kauli za Sitta leo zimethibitisha hilo kwamba bila ya shaka zozote hakuna aliyeko ndani ya CCM anayeweza kuwa mpambanaji dhidi ya ufisadi kwani naye ni zao la ufisadi uliomo ndani ya chama hicho. Formula hii alitupa Hayati Baba wa Taifa muda mfupi kabla ya kifo chake alipokuwa akisisitiza kwamba hakuna kiongozi atokanaye na rushwa ambaye akipewa uongozi anaweza kupambana nao.
Vyovyote ilivyo Sitta anaufahamu vema utamu wa ufisadi na naamini alionja ladha yake wakati akiwa mkurugenzi wa uwekezaji nchini ambapo mashirika mengi tu yalikwenda na maji kwa bei poa. Kelele zake alipokuwa Spika zilikuwa wivu tu wa kwa nini fulani naye apate na si uchungu wa dhati wa mustakhbali wa taifa letu. Leo amedhihirisha unafiki na undumilakuwili wake hadharani na naamini hata wale waliokuwa na shaka kidogo juu ya uzalendo wake kwa umma unaoteseka wa watanzania wamemwelewa na atahukumiwa kwa kauli zake za kejeli dhidi ya umma.
Narudia tena: Hakuna kiongozi toka ndani ya CCM atakayeweza kwa dhati kuzungumzia mustakhbali wa taifa hili kwani maambukizi ya virusi vya ufisadi ndani ya CCM yameingia hadi kwenye kiini, kwa maana hiyo hakuna wa kuaminika kuanzia Rais hadi tarishi.
Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika.
 
  • Thanks
Reactions: Aza
Back
Top Bottom