Ginner
JF-Expert Member
- May 8, 2011
- 1,459
- 1,832
Jamani jamani kwa hali hii bunge linavoenda enda ipo siku tutashawishika kuingia mtaani kama kinachotokea ukanda wa kiarabu duniani....bado na shaka na uwezo wa huyu naibu spika na spika makinda katika kuliongoza bunge hili. Sitta kaongea upuuzi dhidi ya wapinzani..bila aibu mwenyekiti kambeba kweupe...mara sauti za ajabu ajabu bungeni bila mpangilio...mara toka nje..mara nini kama mipasho bungeni..haya me naskilizia tu mwisho utakuwa ivo