Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 48,323
- 115,323
Hahaaaa. Kama kwa upande wako umeona hivyo sio mbaya mkuu. Kila la kheri.Sure mkuu ,, ujue kwa maelezo aloyatoa hapo juu anasitahili kuenziwa na kupewa malezi sawa na malezi ambayo hupewa mtoto mchanga toka kwa mama yake.
Mwanzo nilijua mwanamme anachepuka sababu mkewe hatimizi majukum yake,, sasa Binti wawamtu anajitahidi mpaka anaumia ,,kwann asipewe anachostahili ???? .penye miti huwa Hanna wajenzi.
Cc. Miss muya