cold water
Senior Member
- Oct 6, 2021
- 174
- 618
Wanaume tulieni na ndoa zenu!!!! Utakuta mtu na Pete yake kidoleni amekung'aninia mtoto wa watu muda wote anataka mapenzi, najiuliza ni kwamba hamridhishwi na wake zenu?
Mnakosa furaha au mapenzi ya kweli uko mliko? Tamaa? au ulioa ili upate heshima tu lakini mwanamke uliye nae sio sahihi au ni nini? Nilipokuwa chuo nili date na mwalimu ambaye alikuwa anatufundisha lakini niliogopa sap, kingine mwl mwenyewe tu alinivutia,lakini alikuwa ni mume wa mtu ametoka kufunga ndoa wiki ilo ilo akakutana na Mimi kwenye sita kwa sita mke wake alisafiri kidogo,lakini hata aliporudi ikawa ivyo ivyo tunakulana tu as if hana mke!
Na simu hazikatiki hadi leo huyu teacher akisikia tu nipo mkoa huo atanisumbua labda niende kimya kimya asijue, Sasa Mimi nimechoka. Nipo mkoa flani nakutana tena na Yale Yale mtu na Pete yake mkononi nakupenda!! Nakupenda! Nipe Nipe! Jamani! huu mwezi wa nne namkatalia bado anakomaa tu na Mimi,saizi mimi nipo kwenye mahusiano serious,vipi mwanaume wangu akikuta chati?
Yaani tunaharibiana nyie wanaume. mnataka chapati! Au mnataka nini?
Mnakosa furaha au mapenzi ya kweli uko mliko? Tamaa? au ulioa ili upate heshima tu lakini mwanamke uliye nae sio sahihi au ni nini? Nilipokuwa chuo nili date na mwalimu ambaye alikuwa anatufundisha lakini niliogopa sap, kingine mwl mwenyewe tu alinivutia,lakini alikuwa ni mume wa mtu ametoka kufunga ndoa wiki ilo ilo akakutana na Mimi kwenye sita kwa sita mke wake alisafiri kidogo,lakini hata aliporudi ikawa ivyo ivyo tunakulana tu as if hana mke!
Na simu hazikatiki hadi leo huyu teacher akisikia tu nipo mkoa huo atanisumbua labda niende kimya kimya asijue, Sasa Mimi nimechoka. Nipo mkoa flani nakutana tena na Yale Yale mtu na Pete yake mkononi nakupenda!! Nakupenda! Nipe Nipe! Jamani! huu mwezi wa nne namkatalia bado anakomaa tu na Mimi,saizi mimi nipo kwenye mahusiano serious,vipi mwanaume wangu akikuta chati?
Yaani tunaharibiana nyie wanaume. mnataka chapati! Au mnataka nini?