Wanaume mnataka nini hasa kwenye mahusiano?

cold water

Senior Member
Oct 6, 2021
174
618
Wanaume tulieni na ndoa zenu!!!! Utakuta mtu na Pete yake kidoleni amekung'aninia mtoto wa watu muda wote anataka mapenzi, najiuliza ni kwamba hamridhishwi na wake zenu?

Mnakosa furaha au mapenzi ya kweli uko mliko? Tamaa? au ulioa ili upate heshima tu lakini mwanamke uliye nae sio sahihi au ni nini? Nilipokuwa chuo nili date na mwalimu ambaye alikuwa anatufundisha lakini niliogopa sap, kingine mwl mwenyewe tu alinivutia,lakini alikuwa ni mume wa mtu ametoka kufunga ndoa wiki ilo ilo akakutana na Mimi kwenye sita kwa sita mke wake alisafiri kidogo,lakini hata aliporudi ikawa ivyo ivyo tunakulana tu as if hana mke!

Na simu hazikatiki hadi leo huyu teacher akisikia tu nipo mkoa huo atanisumbua labda niende kimya kimya asijue, Sasa Mimi nimechoka. Nipo mkoa flani nakutana tena na Yale Yale mtu na Pete yake mkononi nakupenda!! Nakupenda! Nipe Nipe! Jamani! huu mwezi wa nne namkatalia bado anakomaa tu na Mimi,saizi mimi nipo kwenye mahusiano serious,vipi mwanaume wangu akikuta chati?

Yaani tunaharibiana nyie wanaume. mnataka chapati! Au mnataka nini?
 
Umetuita mara tatu! Nikajua lipo jambo unatusema kumbe ulimpa,akanogewa sahivi napo hutaki kumpa! Kama ulijua anamke kwanini ulimpa nawe ni yaleyale yaliyokanyaga moto
 
Wanaume tulieni na ndoa zenu!!!! Utakuta mtu na Pete yake kidoleni amekung'aninia mtoto wa watu mda wote anataka mapenzi,najiuliza ni kwamba hamridhishwi na wake zenu? Mnakosa furaha au mapenzi ya kweli uko mliko? Tamaa? au ulioa ili upate heshima tu lakini mwanamke uliye nae sio sahihi au ni nini? Nilipokuwa chuo nili date na mwalimu ambaye alikuwa anatufundisha lakini niliogopa sap,kingine mwl mwenyewe tu alinivutia,lakini alikuwa ni mume wa mtu ametoka kufunga ndoa wiki ilo ilo akakutana na Mimi kwenye sita kwa sita mke wake alisafiri kidogo,lakini hata aliporudi ikawa ivyo ivyo tunakulana tu as if hana mke!!! Na simu hazikatiki hadi leo huyu teacher akisikia tu nipo mkoa huo atanisumbua labda niende kimya kimya asijue,Sasa Mimi nimechoka maana anaenifata fata tena ni Mme wa mtu kaniganda kaniganda huu mwezi wa nne namkatalia bado anakomaa tu na Mimi,sasa mimi nipo kwenye mahusiano serious yani tunaharibiana nyie wanaume. mnataka chapati!!! Au mnataka nini?
Tunataka huo Mdomo wa samaki dada yng, hayo mengine baadae
 
Wanaume tulieni na ndoa zenu!!!! Utakuta mtu na Pete yake kidoleni amekung'aninia mtoto wa watu mda wote anataka mapenzi,najiuliza ni kwamba hamridhishwi na wake zenu? Mnakosa furaha au mapenzi ya kweli uko mliko? Tamaa? au ulioa ili upate heshima tu lakini mwanamke uliye nae sio sahihi au ni nini? Nilipokuwa chuo nili date na mwalimu ambaye alikuwa anatufundisha lakini niliogopa sap,kingine mwl mwenyewe tu alinivutia,lakini alikuwa ni mume wa mtu ametoka kufunga ndoa wiki ilo ilo akakutana na Mimi kwenye sita kwa sita mke wake alisafiri kidogo,lakini hata aliporudi ikawa ivyo ivyo tunakulana tu as if hana mke!!! Na simu hazikatiki hadi leo huyu teacher akisikia tu nipo mkoa huo atanisumbua labda niende kimya kimya asijue,Sasa Mimi nimechoka maana anaenifata fata tena ni Mme wa mtu kaniganda kaniganda huu mwezi wa nne namkatalia bado anakomaa tu na Mimi,sasa mimi nipo kwenye mahusiano serious yani tunaharibiana nyie wanaume. mnataka chapati!!! Au mnataka nini?
Matako.
 
Wanaume tulieni na ndoa zenu!!!! Utakuta mtu na Pete yake kidoleni amekung'aninia mtoto wa watu mda wote anataka mapenzi,najiuliza ni kwamba hamridhishwi na wake zenu? Mnakosa furaha au mapenzi ya kweli uko mliko? Tamaa? au ulioa ili upate heshima tu lakini mwanamke uliye nae sio sahihi au ni nini? Nilipokuwa chuo nili date na mwalimu ambaye alikuwa anatufundisha lakini niliogopa sap,kingine mwl mwenyewe tu alinivutia,lakini alikuwa ni mume wa mtu ametoka kufunga ndoa wiki ilo ilo akakutana na Mimi kwenye sita kwa sita mke wake alisafiri kidogo,lakini hata aliporudi ikawa ivyo ivyo tunakulana tu as if hana mke!!! Na simu hazikatiki hadi leo huyu teacher akisikia tu nipo mkoa huo atanisumbua labda niende kimya kimya asijue,Sasa Mimi nimechoka maana anaenifata fata tena ni Mme wa mtu kaniganda kaniganda huu mwezi wa nne namkatalia bado anakomaa tu na Mimi,sasa mimi nipo kwenye mahusiano serious yani tunaharibiana nyie wanaume. mnataka chapati!!! Au mnataka nini?
Kama ulitoa papuch kwa kuogopa sap, inamaana hiyo degree yako ni Batili, Sasa huko makizini nyinyi ndiyo mnaharibu kazi za Watu!!
 
Wanaume tulieni na ndoa zenu!!!! Utakuta mtu na Pete yake kidoleni amekung'aninia mtoto wa watu mda wote anataka mapenzi,najiuliza ni kwamba hamridhishwi na wake zenu? Mnakosa furaha au mapenzi ya kweli uko mliko? Tamaa? au ulioa ili upate heshima tu lakini mwanamke uliye nae sio sahihi au ni nini? Nilipokuwa chuo nili date na mwalimu ambaye alikuwa anatufundisha lakini niliogopa sap,kingine mwl mwenyewe tu alinivutia,lakini alikuwa ni mume wa mtu ametoka kufunga ndoa wiki ilo ilo akakutana na Mimi kwenye sita kwa sita mke wake alisafiri kidogo,lakini hata aliporudi ikawa ivyo ivyo tunakulana tu as if hana mke!!! Na simu hazikatiki hadi leo huyu teacher akisikia tu nipo mkoa huo atanisumbua labda niende kimya kimya asijue,Sasa Mimi nimechoka.nipo mkoa flani nakutana tena na Yale Yale mtu na Pete yake mkononi nakupenda!! Nakupenda!! Nipe Nipe!!! Jamani!!! huu mwezi wa nne namkatalia bado anakomaa tu na Mimi,sasa mimi nipo kwenye mahusiano serious yani tunaharibiana nyie wanaume. mnataka chapati!!! Au mnataka nini?
Tunataka kunyandua k za nnje. mama elewa mke ni wako yupo nyumbani kila ukirudi asa hamu nae kila siku utaitoa wapi? mwanaume tunataka k ya kupimiwa Leo unapewa inaadimika mwezi mzima.
Kitu ikiwa yako huwa unaizoea..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom