habarini, jamani ninapata kila ki2 kwenye maisha but cjapata mapenzi ya ukweli nifanyaje?:shock:
haka kadada kana pepo! njoo kanisani leo jion tukuombeehabarini, jamani ninapata kila ki2 kwenye maisha but cjapata mapenzi ya ukweli nifanyaje?:shock:
haka kadada kana pepo! njoo kanisani leo jion tukuombee
habarini, jamani ninapata kila ki2 kwenye maisha but cjapata mapenzi ya ukweli nifanyaje?:shock:
Tatizo la wabongo mtu akiongea ukweli mnasema ana pepo. Huyo dada kusema hapati mapenzi ya kweli amekosea nini mpaka useme ana pepo!haka kadada kana pepo! njoo kanisani leo jion tukuombee
habarini, jamani ninapata kila ki2 kwenye maisha but cjapata mapenzi ya ukweli nifanyaje?:shock:
Si jana tu umeanza kutafuta?
Kua na subira.
Tulia bwana, ukiwa desperate hivi haipendezi hata kwa potential partners!
Wewe mwenyewe una mapenzi ya kweli?habarini, jamani ninapata kila ki2 kwenye maisha but cjapata mapenzi ya ukweli nifanyaje?:shock:
haka kadada kana pepo! njoo kanisani leo jion tukuombee
Dah!!!!!!.................... aiseee sijui nikusaidie vp yani. ila nikwambie kitu unaezekana ukawa c safi ndo maana hupati anaekufaa. usikate tamaa endelea kukomaa ipo siku utampata unaemtaka kama c hapa kwa jakaya basi hata kwa mr ob unaeza ukapata. mi nakuombea na ukimpata usinisahau.