tunavumilia manake wallet zinaeleweka!
Ina maana akuzubaa anaweza akamdu?
Sura zetu zingekuwa zatisha mngethubutu kufunga nasi ndoa?
Kwa hiyo kwa ufupi wewe ni bidhaa na unalipiwa kodi?
Btw hapa najaribu kutafuta msamiati wa mwanamke avutiwaye na pesa ya mwanaume...
kunguru hana woga hata kwa mwanaume...
Nimewahigi kusikia ila ni kuhusu Ngedere...maana huku nilipo
Ngedere ni wengi sana ila sijui connection iko wapi
mbona mimi wananiogopa mpwa?
no research no right to say. kwa cc tulio kulia vijijini kuchunga ng'ombe na hata kukutana nyani hii ni habari ya kweli. hata mwanamke akikutana na nyani, nyani hawaondoki njiani mwanamke anaweza kulazimika kuahirisha safari au mpaka ampate mwanaume wa kumvusha. ukweli ndio huo.[/QUOTE]
Na kama mwanaume ni shoga a.k.a bwabwa, limesuka nywele, limevaa hereni, linajishembendua.......je nyani wanatambua ama ?
Mhhh utakua unatisha hee?
sana...
ndo mana...
hata mnyama mwenye mkia mbele pia...
na wewe anza kuniogopa...