ligendayika
JF-Expert Member
- Aug 31, 2012
- 1,183
- 198
kama unafuatilia maswala yoyotye katika ofisi za serikari ukipambana na neno hilo ujue hapo usumbufu na ucheleweshaji unaanza na linapelekea mianya ya kukosa uadilifu kwa watendaji wa serikari na mwishowe ni Rushwa. naomba tujadili wana JF mnaonaje.