Jamani hii kitu ni ndege ama nini

nilijua ni vumbi kwenye barabara ya ndege angani

huko angani kuna trafiki?
Trafiki wapo ila wanakaa ardhini na waitwa air traffic controllers. Ndio wanaosababisha ndege zisigongane ovyo angani. Huwezi kurusha ndege au kutua bila kuongozwa na hawa jamaa, na lazima utii maagizo yao, hata kama wewe hupangiwi na mtu!

 

Samahani kuuliza, unaposema anga la kimataifa inamaanisha nn? na hua zinaelekea wapi? haziwezi tua hapa kwetu?
Lugha nzuri ingesema kima kirefu (high altitude), nadhani kasema hivyo kwa sababu anga za kimataifa zinakuwaga kwny high altitude ili kupunguza mwingiliano na anga za ndani, lkn ndg ikikaribia kutua itashuka mpaka low altitude
 
Fuatilia huu uzi wangu vizuri hasa aya ya mwisho utapata jibu lako. Nimeshindwa kuuambatanisha hapa labda mods mnisaidie ili ajifunze zaidi
 
Ngoja ngoja twende taratibu jibu na hili inakuwaje hapa duniani tunapata joto kali na huko juu kuwe na baridi kali wakati joto tunalolipata huku ndo linatoka huko..??????
The higher the altitude the low the temperature. Cjui kama nakumbuka vizuri hii kitu nilisoma nikiwa form 1 au 2 hivi, watu wa Physics nisaidieni.
 

Sasa mkuu mbona hizi zinazopita anga la chini hatuoni moshi wake kama tunavyoweza kuona moshi wa hizo za anga la mbalii!?
 

Hapa nimekusoma mkuu
 
Sio kweli! Nenda Lushoto uamke asubuh utoke nje upige miayo,utakachokiona kinatoka kwenye mdomo ndo sawa na huo moshi wa ndege

Wajinga ( Mangumbaru ) sijui mtaisha / mtapungua lini duniani na hasa hapa nchini Tanzania.
 
Wewe ni noma mkuu, asante kwa kunielewesha
 
Ndege za mizigo tu hizo na zinatua hapo Adis Ababa Ethiopia mbona
 
Hiyo ni ndege ya kawaida (lakini bombadi haioni ndani)hapo inapiga anga la kimataifa yaanihata kama kuna vita kwetu hapa hairuhusiwi uidungie
 
JUMBO JET
 
Tukupe jibu la kisayansi na kama umesoma ingalau sayansi kidogo, utelewa.
Ndege ikiwa anga za juu(kilometa 10 angani-33,000ftau zaidi), huacha mkia wa exhaust trail.
Hii exhaust ni mchanganyiko wa vumbi kama linalotoka kwenye exhaust ya gari.
Exhaust hizo kuna vumbi pamoja na gesi nyingine na mvuke wa maji kutokana na kuungua mafuta(combustion).
Lakini kule anga za juu kuna baridi kali sana na mvuke ule ukitoka tu kwenye exhaust ya ndege, huganda.
Na huo ndo exhaust trails -mikia tunayoiona.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…