Jamani hii kitu gani?

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,317
33,115
578070_10151540076360063_911152946_n.jpg


huyu ni baniani au?................................ Malizia tena Boflo
 
Last edited by a moderator:
haaaaaaaaa umenikumbusha kwetu mbeya unapata kitu fresh toke shambani siyo hapa dar kitu kimekaa siku na siku njiani afu ndo unakipata hata radha hamna.lol
 
Kwa sababu ni chachu chachu (ina ugwadu) hivyo inasaidia kupunguza kichefuchefu.

Ala.........kumbe nanihii inaleta kichefuchefu sio? Mbona watu wengine ukiwaudhi wanasema ''usinitie kichefuchefu mie'' je wana maana gani? Kwamba wasitiwe nanihii au?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom