Henge JF-Expert Member May 14, 2009 6,933 1,510 Jul 26, 2012 #41 mzizimkavu said: sasa huo ni mbeya au ni baniani? henge Click to expand... mkuu hii ni mbeya moja mkuu!
mzizimkavu said: sasa huo ni mbeya au ni baniani? henge Click to expand... mkuu hii ni mbeya moja mkuu!
brazilian JF-Expert Member Feb 10, 2012 604 112 Jul 26, 2012 #42 MziziMkavu said: na hii kitu gani jamani? Mkuu BAK Click to expand... Huu uyoga sio sumu. maana ukikosea tu hauna msalie mtume. Mimi sianzi kula mpaka aanze mtu mwingine
MziziMkavu said: na hii kitu gani jamani? Mkuu BAK Click to expand... Huu uyoga sio sumu. maana ukikosea tu hauna msalie mtume. Mimi sianzi kula mpaka aanze mtu mwingine
Anyisile Obheli JF-Expert Member Dec 13, 2009 3,398 319 Sep 2, 2012 #43 MziziMkavu una majaribu mkuu mana hilo hindi limetulia si kitoto