Muuzaji wa kiwanja anakueleza kuwa ni "heka" 1 (naamini anamaanisha eka (acre)1. Ukifika eneo lenyewe ni kama mita za mraba 1000 tu wakati eka ni takriban mita za mraba 4000. Hali kama hii imenitokea kama mara 6 hapa jijini DSM.
Je! Ni wanakosea au ni mazingira haya wanaamini kuwa eka ndio ukubwa huo?
Nawasilisha
Je! Ni wanakosea au ni mazingira haya wanaamini kuwa eka ndio ukubwa huo?
Nawasilisha