Jamani hapa kuna mapenzi kweli?

Ofcuz nimeingia gharama mkuu ila hazizidi 1.5mil. Ndio maana nataka niweke ndani kabisa kupunguza cost na kupush forward maendeleo.
 
Kwan kuolewa ni lazima bhana kwangu mm ni un necessary
Ila papuchi unatoa fresh kabisa, na unataka uhudumiwe hadi hela ya kula, kusuka, kodi ya chumba. Yaani unatoa huduma zote za mke, na unapewa huduma zote za mke, ila hutaki tu KURASIMISHA hiyo hali ya kuitwa mke. Wewe ni nani?
 
Nikuambie kuwa hapo huna mke. Akituma meseji usijibu, akipiga usipokee akitumia simu nyingine ukijua ni yeye kata. Anataka kuwa huru huru yakuwapanga madanga na vidanga. Nina UHAKIKA sio peke Yako unaepigwa vizinga na kuombwa hela ya pango huyo sio demu.

Huyo Binti anaweza akawa Analia mbele Yako na ukamuonea huruma lakini kitakachokukuta ni balaa. Anataka apange na kukamilisha geto halafu aje ajigambe Kwa marafiki kuwa kazi inamlipa na kwao asifiwe kuwa mpambanaji na hataki wajue kuwa ana backup yako.
 
Kumbuka ao wamekutana miez mi 3 tu then mnapokutana watu wawili kumbuka kuwa kila mtu alkuwa na malengo yake binafsi sio rahisi tu mtu aache yake afate yako maisha yamechange kila mdada nahtaji kujijenga wew kma huwez kumpa ela basi tafta mwingine mnaeendana sio wote wako ivo
 
Mwanamke mwaminifu shauku yake ni kuolewa.

Lakini mwanamke malaya hataki kuolewa atakupa upendo feki ili aendelee kukuchuma huku analiwa na timu ya watu kibao
 
Uko sahihi mkuu. Hawaeleweki. Amenihakikishia hana mtu mwingine zaidi yangu. Lkn kuishi pamoja anaona jau! Mtihani kweli huu
 
Achana nae. Usimpangie kabisa chumba pia usimpe pesa tena akikuomba
 
Tatizo lako sio kuolewa, bali kurasimisha kuolewa. Maana kama unahudumiwa hadi hela ya kula, na unatoa papuchi kiroho safi, hapo ni umeolewa kibubu-bubu tayari.
Yeye amesema amhamishe kazi then wakapange waishi wote heeeeeeeee yote ayo miez mitat na wanaume hubadika hurogwa, na mengne mengi ety mm niache kazi niliyofanya mda mrefu nifate mwanaume bora niitwe malaya
 
Anaekupenda bhna wengne tu hatupendi kuolewa kabsaa ila kupenda tuna fall kabsa shida inakuja pale unaponiambia uniweke ndani uwiiiiiiiiiiiii!!!!! Sitaki kbs
Sijaelewa ulichoandika hapo. Nimesoma zaidi ya mara tatu lakini bilabila
 
Shikilia hapo hapo vinginevyo endelea kupoteza.
Hauko peke yako ndio maana hataki kukutambulisha.
Hayo malalamiko anataka huruma na ndio fimbo yao ya kujilinda lkn ukweli ni kwamba hauko peke yako
Amenihakikishia nipo peke yangu ila kwa sasa anataka anataka kua independent. Daaaah!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…