Jamani hakuna kitu kibaya kama hiki...

Jamani hakuna kitu kibaya kama hiki...

Hiyo ilisha wahi nikuta ila nililimalinza kwa njia ya kidiplomasia
 
Unampigia sim mpenzi wako mida ya wanga alafu unajibiwa hivi;
Namba ya mteja unayopiga anaongea na sim nyingine.
ukarudia tena kama mara 5 ivi mda tofautitofauti assume mida ya SAA 7 usiku.
Wallahi ukipata usingizi mi najinyonga.
 
Unampigia sim mpenzi wako mida ya wanga alafu unajibiwa hivi;
Namba ya mteja unayopiga anaongea na sim nyingine.
ukarudia tena kama mara 5 ivi mda tofautitofauti assume mida ya SAA 7 usiku.
Wallahi ukipata usingizi mi najinyonga.

Mbona simple tu? Mimi wa kwangu nilimfungia safari mpaka dirishani kwao nikamnasa kiulaini kabisa.
 
Unampigia sim mpenzi wako mida ya wanga alafu unajibiwa hivi;
Namba ya mteja unayopiga anaongea na sim nyingine.
ukarudia tena kama mara 5 ivi mda tofautitofauti assume mida ya SAA 7 usiku.
Wallahi ukipata usingizi mi najinyonga.
pole sana !ukimchunguza sana bata....we usk huo cha kupga sim ni nn!
Poleni sana ninyi wavulana na wasichana.
Wengine ikisha fika mida ya majeruhi huwa hatupigi simu kabisaaaa.....
Na hata siku tunapo toka safari huwa tunatoa taarifa siku moja kabla, ili kuepusha presha, vifo vya ghafla na magomvi yaaio ya lazima
lazima ipande
imeshakua msiba!haya asante
Mmmmmmh ! Hivi zile pass za mama Ndalichako" s" inaishia ngapi vile?nimesahau.
hahaaha niimecheka sana aic
Mida ya wanga unagundua nini mkuu
khaaa Poleni jamani
Hahahahaaaaa,,,,,,,,,,,mapenzi ni upofu Me too toa ushuhuda hapa ni kwel??
Kwanini uongee na simu mida ya wanga?
Preshaaaa
 
Poleni sana ninyi wavulana na wasichana.
Wengine ikisha fika mida ya majeruhi huwa hatupigi simu kabisaaaa.....
Na hata siku tunapo toka safari huwa tunatoa taarifa siku moja kabla, ili kuepusha presha, vifo vya ghafla na magomvi yaaio ya lazima
Yaani kuna akili nyingine sio kabisaa, unapiga simu mida ya wanga Unataka kuongea nini labda kigeni... Wanawake wanapata shida saana na hawa wanaume wenye akili za kivulana....
 
Umeshamaliza homework dogo? Itabidi wazazi tuwaambie walimu waongeze maswali. Madogo wanatupa BP wazazi. Au tuwajengeee mabweni mlale boda!
Acha kuishi maisha ya kuiga comment za watu Alf kumwambia ivyo mtoa mada cio ujanja ni ushamba tu
 
Unampigia sim mpenzi wako mida ya wanga alafu unajibiwa hivi;
Namba ya mteja unayopiga anaongea na sim nyingine.
ukarudia tena kama mara 5 ivi mda tofautitofauti assume mida ya SAA 7 usiku.
Wallahi ukipata usingizi mi najinyonga.
mi nlijua kugongwa na nyoka!Shabaash!
 
Unakunywa maji kisha unalala, usingizi utakuja tu


Labda uwe na lack of sleeping sickness hapo sawa
 
Back
Top Bottom