Jamani hakuna kitu kibaya kama hiki...

Jamani hakuna kitu kibaya kama hiki...

Mr mgeni

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2014
Posts
1,222
Reaction score
812
Unampigia sim mpenzi wako mida ya wanga alafu unajibiwa hivi;
Namba ya mteja unayopiga anaongea na sim nyingine.
ukarudia tena kama mara 5 ivi mda tofautitofauti assume mida ya SAA 7 usiku.
Wallahi ukipata usingizi mi najinyonga.
 
Unampigia sim mpenzi wako mida ya wanga alafu unajibiwa hivi;
Namba ya mteja unayopiga anaongea na sim nyingine.
ukarudia tena kama mara 5 ivi mda tofautitofauti assume mida ya SAA 7 usiku.
Wallahi ukipata usingizi mi najinyonga.
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
 
Umeshamaliza homework dogo? Itabidi wazazi tuwaambie walimu waongeze maswali. Madogo wanatupa BP wazazi. Au tuwajengeee mabweni mlale boda!
 
Unampigia sim mpenzi wako mida ya wanga alafu unajibiwa hivi;
Namba ya mteja unayopiga anaongea na sim nyingine.
ukarudia tena kama mara 5 ivi mda tofautitofauti assume mida ya SAA 7 usiku.
Wallahi ukipata usingizi mi najinyonga.
Hahahahaaaaa,,,,,,,,,,,mapenzi ni upofu Me too toa ushuhuda hapa ni kwel??
 
Mmmmmmh ! Hivi zile pass za mama Ndalichako" s" inaishia ngapi vile?nimesahau.
 
Poleni sana ninyi wavulana na wasichana.
Wengine ikisha fika mida ya majeruhi huwa hatupigi simu kabisaaaa.....[emoji135] [emoji135]
Na hata siku tunapo toka safari huwa tunatoa taarifa siku moja kabla, ili kuepusha presha, vifo vya ghafla na magomvi yaaio ya lazima
 
Back
Top Bottom