he hr he man of a yearWavulana mnapata taabu sana.
Wanaume huwa tunakuwa na amani muda wote. Ukishaongea na mwanamke wako narudia tena MWANAMKE WAKO sio msichana hata kama ni saa kumi na mbili jioni basi inatosha.
Mida ya wanga badala ulale na kutafakari ya kesho au maendeleo wewe unawaza kupiga simu?
ukirudia kupiga mara ya 10 haipatikani kwa sasaUnampigia sim mpenzi wako mida ya wanga alafu unajibiwa hivi;
Namba ya mteja unayopiga anaongea na sim nyingine.
ukarudia tena kama mara 5 ivi mda tofautitofauti assume mida ya SAA 7 usiku.
Wallahi ukipata usingizi mi najinyonga.
Unajihami sababu na wewe ndio hivyo hivyouongo
abadili simu ndo apige.