Jamani hakuna kitu kibaya kama hiki...

Jamani hakuna kitu kibaya kama hiki...

Poleni sana ninyi wavulana na wasichana.
Wengine ikisha fika mida ya majeruhi huwa hatupigi simu kabisaaaa.....
Na hata siku tunapo toka safari huwa tunatoa taarifa siku moja kabla, ili kuepusha presha, vifo vya ghafla na magomvi yaaio ya lazima



hahahahhaahahahahahah!kwakweli taarifa muhimu kwa kipindi hiki!
 
pole sana !ukimchunguza sana bata....we usk huo cha kupga sim ni nn!
Kumbuka anayepigiwa simu huo unaouita usiku huo, naye anaongea na simu muda huo. Huenda alipiga au alipigiwa
 
Nawe saa7 usiku haujalala we mlinzi?
 
kwanini upate presha ukiona yupo bize na wewe una mblacklist akikupigia anaambiwa upo bize inakua ngoma droo
 
Kwa nn nijinyonge?
FARIDA akiwa busy nampigia Grace au Asha.
Diana nae najua atakua hayupo busy
 
kwanini upate presha ukiona yupo bize na wewe una mblacklist akikupigia anaambiwa upo bize inakua ngoma droo
unaugonjwa tena unaongeza ugonjwa,wallah habaki mtu salama
 
Back
Top Bottom