Jamani first year mimi nakufa njaa chuoni

Jamani first year mimi nakufa njaa chuoni

Ndio tatizo la member wengi humu huwa wanajifanya wana pesa na kazi zao haliyakuwa nimasikini tu kama sisi wengine.

Tatizo kubwa la JF kila mtu ni BoSS.
Mimi ni mkulima, na ndiomaana napenda sana kuwakaribisha huku Ushirombo tule raha duniani..
 
Ndugu zangu mwaweza ona ni masihara ila kiukweli vyuoni kuna watu wanaishi kwa tabu sana, inafika mahali unakosa hata mia unaanza kukagua nguo ulizotundika ukiwa na matumaini unaweza ukakuta huko hata jero ukanunulie hata maji! inafika mahali ukipewa hata jero moyo unapasuka kwa furaha! mnaomponda huyu mtu hamjasoma na hamjui hizi adha
 
Rudi home kabla hali ijawa mbaya zaidi
 
Hua nawashangaa sana watu mnaosema "naomba mnisaidie pesa" walio na hizo pesa unadhani wameziokota?
Ilitakiwa uje useme "nisaidieni njia ipi inaweza niingizia pesa huku nasoma", hiyo ndiyo ingeonyesha kua umejipanga na sio mzembe, we badala ya kuomba kufundishwa kuvua unaomba samaki.
Endelea kumsubiri huyo mdhamini kama atakuja bure bure.
 
f9d8cda856ea9ce03389956f08dd30a2.jpg
 
kweli kimpatacho swala simba hajui,mwenzenu yuko serious mnaleta masihara,akifa njaa mtasema vp alishindwa hata kuomba msaada
Angekuwa muwazi angesaidiwa ila anaonekana tapeli tapeli... hakuna atakayemsaidia. Mara anafanya kazi TCU mara anaomba msaada. Hivi director wa TCU anaomba msaada?
 
Wakuu hali inazidi kuwa ngumu..!!
Siku hizi nakula mlo mmoja tu usiku.
Tena wali maharage 1000/=
Bila hata maji ya kunywa.
Wazazi hawana pesa wanasema wamekopa mpaka wamechoka.
Naombeni ushauri nifanye nini???
Nimechaguliwa BACHELOR OF SCIENCE IN NURSING lakini nmekosa mkopo.
Mbna KOZI ZA AFYA MAGU kasema frst priorty ila mimi nmekosa kabisa..
Naombeni msaad jamani wa kifedha nitakufa njaaa.
NAHITAJI MDHAMINI WA KUNIPA PESA YA KULA HATA 50,000.
ASANTENI.
VAN DAME SI KUNA UZI ULIANZISHA KAMA WEWE WAKALA WA TCU UNASAIDIA VIJANA KUPANGWA VYUO LEO VEEPE TENA UNAOMBA MSAADA KAMA MWANAFUNZI MMMH
 
Back
Top Bottom