Jamani first year mimi nakufa njaa chuoni

Jamani first year mimi nakufa njaa chuoni

ndio mkuu hasa kwa waliokomunika au wapiga pass maarufu.
Nikikumbuka maisha ya chuo nnaamua kumuachia Mungu aiseee
Mi 1 yr mzumbe BAF-PS... Mkopo imekuwa kama miyeyusho... Ndonafikiria naendaje kuishi pale.... Sijui 1500 kw siku... Daaa
 
Ungekua binti usingehangaika hata kidogo. Pole sand kwa kuzaliwa mtoto wa kiume we pambana tu.
 
Mimi ni kigogo huku serekalini kama wewe ni ke please niPM namba yako ya simu!
 
Wakuu hali inazidi kuwa ngumu..!!
Siku hizi nakula mlo mmoja tu usiku.
Tena wali maharage 1000/=
Bila hata maji ya kunywa.
Wazazi hawana pesa wanasema wamekopa mpaka wamechoka.
Naombeni ushauri nifanye nini???
Nimechaguliwa BACHELOR OF SCIENCE IN NURSING lakini nmekosa mkopo.
Mbna KOZI ZA AFYA MAGU kasema frst priorty ila mimi nmekosa kabisa..
Naombeni msaad jamani wa kifedha nitakufa njaaa.
NAHITAJI MDHAMINI WA KUNIPA PESA YA KULA HATA 50,000.
ASANTENI.
..usiJali mdgo wangu Upo field hapo,wagonjwa huwa tunapitia taabu za hivyo na zaidi tukiwa tunasubiria huduma hospitalini,kaza Moyo!!
 
Kumbe unapata hata buku ya kula wali maharage. Mbona maisha matamu sana hayo. Kuna watu wanakula mkate wa buku siku tatu kwa maji ya kudownload. Ila pole utapata mokopo batch zijazo.
 
Ha ha ha,poleni vijana,najua mnapitia hali ngumu,jk aliwazoeza vibaya,ila mtazoea tu polepole.

Edit--sikucheki,nachekeshwa comment za watu humu
 
Back
Top Bottom