Chuoni net buree.Unakula Elfu moja lakini bando unaunga daily
Kakaako anafanya kazi TCU halafu unakosa pesa ya chakula?.kuwa muwazi mkuu kuwa ulijipandisha mwenyenyewe kwenye grade zisizo zako.Till akaunti aliitumiaga kakaangu please kaka acha kukosoa pasipo hitajika.
daah naonaa jina van damme limemponzaaUnamaliza hela kwa kununua bandle wewe
Kakaako anafanya kazi TCU halafu unakosa pesa ya chakula?.kuwa muwazi mkuu kuwa ulijipandisha mwenyenyewe kwenye grade zisizo zako.
van dame kafa napicha limekwishaaaMh alitumia kaka yako mfanyakazi wa TCU kuwapa mbinu wengine kupata mkopo. Wewe imekuaje ?Till akaunti aliitumiaga kakaangu please kaka acha kukosoa pasipo hitajika.
Ndio tatizo la member wengi humu huwa wanajifanya wana pesa na kazi zao haliyakuwa nimasikini tu kama sisi wengine.![]()
![]()
van dame kafa napicha limekwishaaa
Wewe ulileta thread humu ukijifanya nimfanyakazi sijui wa TCU,sijui Heslb halafu leo unadai kaka ako ndio alitumia account yako.Kwa maana hiyo brother wako nimfanyakazi sidhani kama anaweza kushindwa kukusaidia pesa ya kula kipindi hiki unachosubiri mkopo.Kivipi mkuu
Ulaaniwe wewe na kizazi chakonipe nitatue mari.n.da upate pocket e. money.
Nmekuomba pesa ya kula cjawaomba TCU mimi kama vipi acha kuchangiaWewe ulileta thread humu ukijifanya nimfanyakazi sijui wa TCU,sijui Heslb halafu leo unadai kaka ako ndio alitumia account yako.Kwa maana hiyo brother wako nimfanyakazi sidhani kama anaweza kushindwa kukusaidia pesa ya kula kipindi hiki unachosubiri mkopo.
u 2Ulaaniwe wewe na kizazi chako
Taja chuo wewe,mbona unakwepa swali.Asante mkuu..?
Nmechaguliwa bachelor of science in nursing na alisema afya na tiba ndo kipaumbele nashangaa nmekosa na mimi
nmesoma shule za KATA tangu vidudu.