Jamani first year mimi nakufa njaa chuoni

Jamani first year mimi nakufa njaa chuoni

Nmekuomba pesa ya kula cjawaomba TCU mimi kama vipi acha kuchangia
Hapana siwezi kuacha kuchangia wakati hii ni public forum kila mtu anauhuru wakuchangia.Watu kama nyie huwa mnashindwa kusaidiwa kwa ajili ya thread zenu baadhi.Humu JF kuna matapeli wanaotumia majukwaa mbalimbali kuomba msaada haliyakuwa hawana shida.Uijifanya director wa TCU halafu leo unakuja kulia umekosa mkopo kweli tukuelewe kirahirahis tu.
 
Hapana siwezi kuacha kuchangia wakati hii ni public forum kila mtu anauhuru wakuchangia.Watu kama nyie huwa mnashindwa kusaidiwa kwa ajili ya thread zenu baadhi.Humu JF kuna matapeli wanaotumia majukwaa mbalimbali kuomba msaada haliyakuwa hawana shida.Uijifanya director wa TCU halafu leo unakuja kulia umekosa mkopo kweli tukuelewe kirahirahis tu.
wewe akaunti inaeza tumiwa na watu 10
 
Kuna mtoa mada mmoja alisema mwaka huu Wimbi la Wizi, Ukahaba na Ushoga litakuwa kubwa sana Mavyuoni kulingana na hali halisi ya wanafunzi kukosa au kupewa fedha kiduchu za Mkopo
 
Mwanaume alalamiki njaa..njoo na hiyo 1k yako upate 50,000
Betting
 
Hapana siwezi kuacha kuchangia wakati hii ni public forum kila mtu anauhuru wakuchangia.Watu kama nyie huwa mnashindwa kusaidiwa kwa ajili ya thread zenu baadhi.Humu JF kuna matapeli wanaotumia majukwaa mbalimbali kuomba msaada haliyakuwa hawana shida.Uijifanya director wa TCU halafu leo unakuja kulia umekosa mkopo kweli tukuelewe kirahirahis tu.
Van damme alijifanya director wa tcu?
 
Back
Top Bottom