Jamani first year mimi nakufa njaa chuoni

Jamani first year mimi nakufa njaa chuoni

Wakuu hali inazidi kuwa ngumu..!!
Siku hizi nakula mlo mmoja tu usiku.
Tena wali maharage 1000/=
Bila hata maji ya kunywa.
Wazazi hawana pesa wanasema wamekopa mpaka wamechoka.
Naombeni ushauri nifanye nini???
Nimechaguliwa BACHELOR OF SCIENCE IN NURSING lakini nmekosa mkopo.
Mbna KOZI ZA AFYA MAGU kasema frst priorty ila mimi nmekosa kabisa..
Naombeni msaad jamani wa kifedha nitakufa njaaa.
NAHITAJI MDHAMINI WA KUNIPA PESA YA KULA HATA 50,000.
ASANTENI.
subiri second batch utapata
 
Halafu pesa unasema elfu hamsini "tu" wakati unadai unashindia buku. Weka details zako zote za chuo zinazokutambulisha hapa na uthibitisho kuwa huna mkopo.
 
Unasoma chuo gani? Dah pole sana
Asante mkuu..?
Nmechaguliwa bachelor of science in nursing na alisema afya na tiba ndo kipaumbele nashangaa nmekosa na mimi
nmesoma shule za KATA tangu vidudu.
 
Pambana kijana, dah siku hzi maisha yamekuwa magumu sana,
Enzi hizo sisi tukipata boom tulikua tunaliita allowance ya bia

Full kushinda kwa baunsa na MUSO
 
Back
Top Bottom