MaxShimba
JF-Expert Member
- Apr 11, 2008
- 35,772
- 4,054
[h=3]HELKOPTA YA KAMPENI ZA CCM YATUA IGUNGA, MAGUFULI, JANUARI WATIA TIMU[/h]
Waziri wa Ujenzi John Magufuli akisalimia mamia ya wananchi waliofika kwenye Uwanja wa Sabasaba mjini Igunga kupokea ndege ya kampeni za CCM.Wengine ni Nchemba na Katibu wa NEC, Oganaizesheni Asha Abdallah Juma
Mratibu wa Kampeni za CCM, Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Mwigulu Nchemba akimlaki Januari Makamba baada ya helkopta aliyokuja nayo kutua kwenye Uwanja wa Sabasaba mjini Igunga. Kushoto ni Katibu Msaidizi Mkuu Itikadi na Uenezi, Sixtus Mapunda.
Mratibu wa Kampeni za CCM, Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Mwigulu Nchemba akimlaki Januari Makamba baada ya helkopta aliyokuja nayo kutua kwenye Uwanja wa Sabasaba mjini Igunga. Kushoto ni Katibu Msaidizi Mkuu Itikadi na Uenezi, Sixtus Mapunda.
Magufuli akitete jambo na mgombe ubunge jimbo la Igunga kwa tiketi ya CCM, Dk. Dalaly Kafumu (kulia) kabla ya kuhutubia wakati waliofika katika mapokezi ya helkopta ya kampeni za CCM kwenye Uwanja wa Sabasaba mjini Igunga leo. Kushoto ni Katibu wa NEC Uchumi na Fedha Mwigulu Nchemba.
Januari Makamba akisalimia mamia ya wananchi waliofika katika mapokezi ya helkopta ya kampeni za CCM ilipowasili leo asubuhi kwenye Uwanja wa Sabasaba mjini.
Januari Makamba akisalimia mamia ya wananchi waliofika katika mapokezi ya helkopta ya kampeni za CCM ilipowasili leo asubuhi kwenye Uwanja wa Sabasaba mjini.