You kno hw to react vigorously dude! Kwa kuanzia tushulikie zile za wakati wa uchaguzi.. huu ni uhuni wa serikali na tcra! Haiwezekani Sheria iwe na upande,ifanye kazi kwa upinzani,kwa wenye maslahi na serikali sheria inakuwa bubu.....kwa mtu yeyote asokuwa ***** lazima atajua asili ya sms,ni from CcmHypothetical satire:<br />
Write down your number, time and date you received the message and PM it to me and everyone who says thanks to this post. We will get back to you with all the sender's info returned by the trace! No fancy algorithms, we have simple tools to trace back the identity and location of the sender by analysis of logs! Certainly, the law enforcers as well as telecom companies/operators/agencies shall be happy to assist!
Sms hii inasambaa kwa kasi sana sijui ww imekufikia?
Quote MPANGO WAFICHUKA!!! CHADEMA wametenga bilioni 20 za chakula,malazi na kusafirisha vijana toka mikoa ya Mwanza,Musoma,Mbeya,Moshi na Arusha kupelekwa jijini Dar kwa ajili ya maandamano ya kuikataa serikali ya JK. End quote
sisiem imekufa inasubiri kuzikwa, propaganda zao zinajulikana ila sasa hawawezi tena kuibuka....mbona wamechelewa sana na hizo propaganda zao? Kweli ccm wamekaribia mwisho wao.
Noo wana jf be carefully, tusfurah na kusema kua tupo tayari, kufanya ivo, noo! Izo ni njama za adui yetu kuwaua wafuas wachanga wa CDM kwa kuwaonesha kua CDM ina nia mbaya. CDM inao wataalam makin wa IT watusaidie kujua chanzo cha Msg hyo ili tufaham nin cha kufanya b4 its implications of that msg to pples. CDM member i advice you even to b careful, dont show up ua identity card of CDM openly and anywhr.
Hivi ukiwa CCM lazima uwemjika kiasi gani? maana hata hizo propaganda zao ni za kijinga kiasi kwamba hata mtu mwenye elimu ya ndogo kabisa atagundua kuwa huu niusaniiSms hii inasambaa kwa kasi sana sijui ww imekufikia?
Quote MPANGO WAFICHUKA!!! CHADEMA wametenga bilioni 20 za chakula,malazi na kusafirisha vijana toka mikoa ya Mwanza,Musoma,Mbeya,Moshi na Arusha kupelekwa jijini Dar kwa ajili ya maandamano ya kuikataa serikali ya JK. End quote
Sms hii inasambaa kwa kasi sana sijui ww imekufikia?
Quote MPANGO WAFICHUKA!!! CHADEMA wametenga bilioni 20 za chakula,malazi na kusafirisha vijana toka mikoa ya Mwanza,Musoma,Mbeya,Moshi na Arusha kupelekwa jijini Dar kwa ajili ya maandamano ya kuikataa serikali ya JK. End quote
unajua CCM ni sawa na walevi waliolewa madaraka.wanaweweseka hovyo hawajui kwamba adui wao namba moja ni wananchi na si chadema wanayoitarget.
Ingekuwa vyema endapo kama ungeiweka hiyo namba iliyotuma SMS ili utafiti ufanyike kujua source yake, naamini kuna IT expert wengi tu humu JF.