Gagurito
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 5,600
- 803
Hatuwezi kuwa tunadanganyika kila siku, cccm wanapaswa wajipange na kujibu hoja za upande wa wapinzani wao, pia wanapaswa wamshauri Rais ambaye ni Mwenyekiti wa Chama chao juu ya kutatuo matatizo ya Uongozi wake, mh alikwisha sema kwamba "Urais wangu hauna UBIA NA MTU YOYOTE", CCCM WASILAUMU KWA MATENDO YAO BALI WAJISAFISHE KWA MATENDO YAO.