Musoma na Moshi sio mikoa! Rudia tena hapo!
wewe kenge maji muongo sana, umetunga wewe huo uvumisms hii inasambaa kwa kasi sana sijui ww imekufikia?
Quote mpango wafichuka!!! Chadema wametenga bilioni 20 za chakula,malazi na kusafirisha vijana toka mikoa ya mwanza,musoma,mbeya,moshi na arusha kupelekwa jijini dar kwa ajili ya maandamano ya kuikataa serikali ya jk. End quote
Sasa wao inawahusu nini, kama wanakereka na mbinu hiyo wao waje ni mkakati mbadala wa kuipiku hiyo mbinu. Wanadhani Lowassa kaja na yale maujinga ya CCM.[/QUOT
wape maujinga yao kawaachia huko huku anatekeleza ilami ya cdm na ukawa. ccm ndo zao watu watatolewa hhadi moro kuja kumsindikiza magufuli
Sms hii inasambaa kwa kasi sana sijui ww imekufikia?
Quote MPANGO WAFICHUKA!!! CHADEMA wametenga bilioni 20 za chakula,malazi na kusafirisha vijana toka mikoa ya Mwanza,Musoma,Mbeya,Moshi na Arusha kupelekwa jijini Dar kwa ajili ya maandamano ya kuikataa serikali ya JK. End quote