Prince edu
Member
- Dec 16, 2011
- 78
- 0
Hivi jaman jana yamenikuta ya kunikuta nikanyimwa hadi 2nda la kati eti kisa wakati nimenogewa na mashamsham ya maandaliz ya kuingia mchezon si nikatia kidole kwenye 2nda lenyewe WEE!! demu alianza kulia huku akinisukuma ntoke mbele yake,alichukua khanga akajifunga kisha akakaa pembeni huku analia.alilia mda mrèfu sana! HIVI TATIZO NI NINI HAPO?