unganisha na wewe tuku support mkuuHakuna kitu ujanja ujanja tu wa kuunganisha mambo
Ndo maana ujinga umetutawala, hatuwazi kupata maarifa, akili zipo kwenye kukata mauno and the like.....Ila wasafi Ni wehu,kwny wasafi festival watu Wana mzuka na kukata mauno ya mziki wao wakampandisha huyo dogo aje kusoma ma vitabu yake jukwaani,wahuni wakazomea mwanzo mwisho ikabidi ashuke tu.
Asante dear. Niliahidi ntakutafuta. Nadhani ntakutafuta jpili ntazama PM kwanza. Ila siku hizi huku opposite na Royal village kuna kuku pia halafu pamechangamkaaa. Mimi naishi Ilazo so ndo mahala napoendaga mara nyingi.Sana sana yuko YouTube, The Story book.
Ni moja ya vipindi vizuri sana na kuna visa vingi sana uhadithia, vya kusisimua, kuhuzunisha, kuchekesha na kutisha zaidi na zaidi vikiambatana na picha.
Kwa Dodoma, Wasafi ni 104.1 Kalpana.
Karibu Chako tule kuku siku moja mpenzi.
๐๐ Yaani uje uwapigie story zako za uongo na kweli za kina Alexander the great watu wako na vibe zao?Wasomi endeleeni kupata maarifa yenu tu.Ndo maana ujinga umetutawala, hatuwazi kupata maarifa, akili zipo kwenye kukata mauno and the like.....
Lazima?unganisha na wewe tuku support mkuu
Una roho mbaya ajabuHamna kitu humo sauti ya mvuto hana
Nadhano unasema Calabash au hapo kwa bubu.Asante dear. Niliahidi ntakutafuta. Nadhani ntakutafuta jpili ntazama PM kwanza. Ila siku hizi huku opposite na Royal village kuna kuku pia halafu pamechangamkaaa. Mimi naishi Ilazo so ndo mahala napoendaga mara nyingi.
SahihiJamaa ndio alikua trainer wa mtiga sasa kashika usukani mwenyewe na anaonekana anasoma vitabu na masimulizi mbalimbali
Hipo bana i think ni ijumaa sijui jumamos!Mbona siku hizi kwa TV hamna the story book?
Nipo hapa nyuma ya Hill park, kwenye kuku tuitaneAsante dear. Niliahidi ntakutafuta. Nadhani ntakutafuta jpili ntazama PM kwanza. Ila siku hizi huku opposite na Royal village kuna kuku pia halafu pamechangamkaaa. Mimi naishi Ilazo so ndo mahala napoendaga mara nyingi.
Kuna washkaji wanasifia sauti ya mwanaume duh.
Yah calabashNadhano unasema Calabash au hapo kwa bubu.
Ok, naja Pm
Mtiga anajua sana kusimulia na kutia udambwidambwi , mimi tokea atoke yeye shauku ya kufuatilia imepunguahuyo mwamba anajua ila combination yake na mtiga ndo ilikipendezesha kipindi, wakati ule anaandaa content alafu mtiga anasimulia kipindi kilikua fire sana.
๐๐๐ Mmea kama Mmea...๐๐๐๐๐ aya kibasila boy, kipaji unacho tunaokujua vzr toka enzi zile ukiwa unazunguka na guitar lako kwenye vibweta , trouser ya shule ukiwa umeibana fulani kama wakojako afu ni dont touch my shoes , ukweli ulipelekea wengine shule tuione nyepesi .
Yap petro jay ukweli jamal hajawahi niangusha kwa kweli๐๐๐ Mmea kama Mmea...